Hapo patamu!
Nina mashaka na hatima ya Mwakyembe!
Jinsi wewe ulivyo muoga usidhani na wengine wako hivyo, wewe hata jeshini hufai
Hapo patamu!
Nina mashaka na hatima ya Mwakyembe!
Jamuhuri nao wanatafuta umaarufu wa kijinga...hivi hapo kuna PAPA wa madawa kweli yaani unatuletea hawa watoto wa mtaani ambao hata hawajui kinachoendelea nyuma ya hii biashara!!,zaidi ya wao kubebeshwa vipaseli kwenda kuuza huko mtaani hakuna wanalojua hao.
tuache masikhara kama anayofanya Mwakyembe pale uwanja wa ndege sasa hivi.
hakuna jipya kwenye orodha hii zaidi ya kuwa ni njama ya kuufunika ukweli halisi watu wameshakuchukua mshiko kwa shughuli hii toka kwa hao mapapa halisi siyo hivi vidagaa ndiyo maana mara kwa mara inaletwa jamvini kwa staili hii washiriki ku-support kwa ghiriba ili kuwapoteza watu mwelekeo.Jamuhuri nao wanatafuta umaarufu wa kijinga...hivi hapo kuna PAPA wa madawa kweli yaani unatuletea hawa watoto wa mtaani ambao hata hawajui kinachoendelea nyuma ya hii biashara!!,zaidi ya wao kubebeshwa vipaseli kwenda kuuza huko mtaani hakuna wanalojua hao.
tuache masikhara kama anayofanya Mwakyembe pale uwanja wa ndege sasa hivi.
Hapo kwenye List Sijaona jina la yule MAMA PAROKO mwenye JUMBA kubwa.
Mpambe mzuri tu wa CHAMA cha Siasa!
Hujifanya ana uchungu sana na Nchi hii kumbe NI ADUI MBAYA muuza Unga wa Sembe!
Amejenga jumba la KIFAHARI kwa biashara haramu halafu akisingizia ni michango ya PAROKO kumbe UNAFIKI TU!
Huyo lzm atakuwa mjomba wako manake wengi hatumjui.
Lkn MAMA PAROKO NI MAARUFU SANA. Hakuna asie mjua.
Ana mwili mkubwa hivi ka kiboko kavishwa VITENGE! Hupenda kupiga kelele sana Bungeni na KANISANI kwake!
Mnafiki Muuza Sembe! Siku tukikamata kizibiti Tunaenda kumfungia chumba Kimoja na yule NYANI DUME! na vile VITENGE tunaondoka navyo!
Tuone sasa kati yake na NYANI DUME nani ZAIDI!
Nyambafff kelbu!
We kama humjui MAMA UPAKO basi Utakuwa ni wale WAHUTU waliokimbia kwao.
Wakazi HARAMU wa Nchi yetu.
Nikikupata wewe! Utaogelea kurudi kwenu!
Hili jumba kamuulize PADRI WAKO km Anatambua mwenye mali ni nani.
Lbd utaelewa! Mtoto mdomo wako NAJISI SANA.
http://3.bp.blogspot.com/--N1ZB2U58PY/UD0Ll9OOVlI/AAAAAAABqss/wJQh_viPzR8/s640/IMG_1153.JPG
Ndo nikasema nyie banyamulenge mlijifunza kiswahili juzi hapa mnatuchafulia nchi.
Km wewe ni mwananchi wa nchi yangu TZ BASI LZM hilo jengo ulitambue.
Lilitolewa kwenye magazeti kila mara. Na kwenye Internet MPAKA LEO LIMO.
Kwenda kwenu nyamafu ya Intarahamwe! Shindwa pepo mchafu! Najisi, shetani kikojozi!
Nasema Shiiindwa kwa Jiiiiiiina Yesu.
Amen!
Ndo nikasema nyie banyamulenge mlijifunza kiswahili juzi hapa mnatuchafulia nchi.
Km wewe ni mwananchi wa nchi yangu TZ BASI LZM hilo jengo ulitambue.
Lilitolewa kwenye magazeti kila mara. Na kwenye Internet MPAKA LEO LIMO.
Kwenda kwenu nyamafu ya Intarahamwe! Shindwa pepo mchafu! Najisi, shetani kikojozi!
Nasema Shiiindwa kwa Jiiiiiiina Yesu.
Amen!
Mkuu tunatakiwa tuwe na Tafakuri ya kina juu ya majina haya mimi nadhani hili gazeti linatumika kutaka kupoteza malengo halisi kwani unapo toa taarifa kwa kuandika majina mawili tu ya muhusika hapa tunakosa uthibitisho kwani haya majina wengi wanayo lingejumuishwa jina la tatu lingeweza kuonyesha uhalisia wa mlengwa aliyetajwa lakini kuishia na majina mawili tu hili ni changa la macho pia kitu kingine muhimu ilitakiwa Makazi ya hawa waliotajwa yangebainishwa ili tuweze kufahamu maeneo wanayotoka kwani Tanzania ni kubwa. kitu kingine tunachojiuliza mbona yale majina yaliyoorodheshwa kwenye ile Barua ya mfungwa wa kule China hakuna hata moja lililoonyeshwa katika haya majina 240 na yale 250 yaliyoripotiwa na gazeti hili?
utashindwa kulityumbua Labda kama sio daktari bingwa kama dr. mwaka.Hili nalo ni jipu lililokaa sehemu mbaya, kulitumbua linahitaji usiwe na tamaa, unaweza kupewa ukapata kigugumizi cha kutaja majina.
me kanichekesha sana hayo matusi ya mwisho.Umesha shiba daku tayari una anza kusunbua watu humu jukwaani.