We
We jamaa una matusi sana, naangalia post zako zote hakuna ambayo itakosa neno la kuudhi, hivi ulilelewa na wazazi wawili kweli, au ndo wale watoto wa mtaani wasio mjua baba? Kila anaeenda kinyume na wwe lazima umtukane, sasa mayara ukaragosi wake upo wapi, pale yupo kazini matusi ya nni? Pole kama nimekuudhi