Loh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!
Wengi tumemshastukia huyu kikaragosi wa nduli katika juhudi zake za kusaka teuzi. Chezeya njaa Mkuu! Njaa ni kitu kibaya sana kwa watu wasiojitambua na kutokuwa na msimamo.
Loh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!
Loh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!
Kama akitafutwa Mtanzania mwenye high level of Sanctimoniousness Namba Moja huyo anaweza akawa anaongoza kwa kila Mwaka hadi Tanzania itakapopinduka tena ambapo Yesu Kristo wa Nazareth aliye hai atakapokuja tena Kutukomboa.
hakuna cha tuhuma wala nn, awamu hii ukijifanya mbabe wanakupoteza...sasa we unadhani Pascal hana roho?!
we mwenyewe muoga unatumia fake id bora hata huyo Pascal
hakuna cha tuhuma wala nn, awamu hii ukijifanya mbabe wanakupoteza...sasa we unadhani Pascal hana roho?!
we mwenyewe muoga unatumia fake id bora hata huyo Pascal
Loh! Nimekuona leo katika maonyesho ya sabasaba na REA. Mapambio uliyoimba ya kuifagilia awamu ya tano ya JPM nikakuona kuwe kweli kumbe wito wa Bunge ulikukengeuza! Ukasema iungwe mkono 100 kwa mia! Mayalla ni Njaa!