Mapaja meupe yote nje....Lol

Ungeendelea kupiga chabo tu badae unampa kimemo ukimwambia uko hoi...bdae ungepata chakula.
 
bora ulibahatika kuyaona yaliyo meupe...usiombe ukutane na mapaja meusiiii tiii kama kinyago cha mpingo!! stimu zote zinaondoka
 
Sidhani kama ni mara yako ya kwanza kumuona mtu wa namna hiyo chuoni kwako!

Hebu mwambie ukweli ili asirudie tena!
 
Kama ada nipo library,kuna dada kakaa kwe kiti ila alivovaa mapaja yote na nguo za ndani vinaonekana,imebidi nihamie upande mwingine mana nimejikuta badala ya kusoma napiga chabo,hivi hawana macho wanaponunua nguo,nguo za disco unakuja nazo library.

BUMIJA wenzako wanatafuta academic perfomance sponsor na vinguo vyao hivyo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom