Ninavipongeza vyombo vyote vya Usalama pamoja na mifumo yote ya usalama wa Taifa la Tanzania.
Kazi yetu iliyotukuka na inayoogofya hata kusimuliwa hapa ndio ujasiri wetu kama Taifa.
Kuna Jambo linataka tokea na huenda Jambo hili lisipoangaliwa kwa umakini tunu za Taifa hili zitakuwa ni wimbo katika midomo ila matendo hakuna.
Kama kuna Jambo linatutisha Sisi tulio nje ya uwanja ni chuki, ukabila, udini, undugunaisation , upendeleo wa wazi, Uhuru na haki ya watanzania kama ilivyo ainishwa ktk katiba not otherwise.
Haya mambo yamepata mpenyo mkubwa Sana ktk utawala wa awamu ya tano. Tuseme kweli hatuwez pinga tawala zingine zilikuwa na hayo mambo Ila this time yamekuwa Kwa sauti kubwa Jambo Lina Tishia Sana umoja wetu, undugu wetu na utaifa wetu.
Lugha zinazotumika katika siasa iwe Kwa wapinzani au chama tawala kiukweli zinatisha zinatishia umoja wa Taifa letu. Sorry nitatoa mfano wa dhahiri kabisa mfano kitendo cha Mh Spika kumpa fursa Fursa Mch na Yule Mch kutumia lugha ya kuudhi kusema kelele za Mbwa while akijuwa mbwa ni haram Kwa waislam na hao mbwa wanaweza Kuwa watu wema ktk kushauri ni mojawapo ya mambo yanatishia uhai wa umoja wetu.
Ni lazima mlimulike hili ili kuliokoa Taifa.
Tumejiwekea malengo makubwa katika kujenga Taifa Ila nilazima tukumbuke pasipo umoja pasipo kusikilizana kama Taifa tunaweza kujikuta tunakuwa kama Ethiopia.
Najua miaka hii mitano itakuwa sio mirahisi kama wengi wanavyodhani vuguvugu la uongozi ndani ya chama tawala na nje litavuma sana hivyo kama idara liangalieni hili Kwa ustawi wa Taifa.
Kazi yetu iliyotukuka na inayoogofya hata kusimuliwa hapa ndio ujasiri wetu kama Taifa.
Kuna Jambo linataka tokea na huenda Jambo hili lisipoangaliwa kwa umakini tunu za Taifa hili zitakuwa ni wimbo katika midomo ila matendo hakuna.
Kama kuna Jambo linatutisha Sisi tulio nje ya uwanja ni chuki, ukabila, udini, undugunaisation , upendeleo wa wazi, Uhuru na haki ya watanzania kama ilivyo ainishwa ktk katiba not otherwise.
Haya mambo yamepata mpenyo mkubwa Sana ktk utawala wa awamu ya tano. Tuseme kweli hatuwez pinga tawala zingine zilikuwa na hayo mambo Ila this time yamekuwa Kwa sauti kubwa Jambo Lina Tishia Sana umoja wetu, undugu wetu na utaifa wetu.
Lugha zinazotumika katika siasa iwe Kwa wapinzani au chama tawala kiukweli zinatisha zinatishia umoja wa Taifa letu. Sorry nitatoa mfano wa dhahiri kabisa mfano kitendo cha Mh Spika kumpa fursa Fursa Mch na Yule Mch kutumia lugha ya kuudhi kusema kelele za Mbwa while akijuwa mbwa ni haram Kwa waislam na hao mbwa wanaweza Kuwa watu wema ktk kushauri ni mojawapo ya mambo yanatishia uhai wa umoja wetu.
Ni lazima mlimulike hili ili kuliokoa Taifa.
Tumejiwekea malengo makubwa katika kujenga Taifa Ila nilazima tukumbuke pasipo umoja pasipo kusikilizana kama Taifa tunaweza kujikuta tunakuwa kama Ethiopia.
Najua miaka hii mitano itakuwa sio mirahisi kama wengi wanavyodhani vuguvugu la uongozi ndani ya chama tawala na nje litavuma sana hivyo kama idara liangalieni hili Kwa ustawi wa Taifa.