Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,251
Hakuna haja ya katiba kukuambia kuwa Tanzania ni nchi ya kibepari, ili mradi ubepari usipingane na katiba ya Tanzania, hakuna kitu kwenye katiba kinachozuia ubepari.hivi katiba yetu inasema tanzania ni nchi ya kibepari?
Kwa mfano tu katiba ya Marekani haisemi kuwa Marekani ni nchi ya kibepari.