Maoni ya Lucy Mayenga (Mb) Kuhusu Bunge lililoahirishwa leo

yule manyanya amejipunguzia heshima yake aliyopata kwenye kamati ya mwakyembe:A S angry::A S angry:
 
huyo anasumbuliwa na wivu,ni kawaida kwa mtu ambaye hana kitu kichwani kuongea utumbo kama huo,kwani aliomba kuchangia akanyimwa!?,na hii itapunguza wabunge wasio na kitu kichwani kusimama na kuongelea mswada,watu kama akina maji marefu, lameck airo inabidi watu kama hao bila kumsahau lucy mayenga inabidi wawe wanaingia na pipi katika vikao vya bunge kuepuka mdomo kunuka.


pipi zipo bungeni tena zile zinaitwa ivory!
 
Mayenga si chakula cha mafisadi alienda kuripoti bunge akaishia kuripoti kama mke wao!!!hana ajualo zaidi,atulie mwisho wake ndio huuu akasome kama hana bongo asubiri kuwa mama nyumbani.....wako wengi sana sampuli yake miaka 10 hajawahi hata kutoa salam tuu kwa spika sembuse kuchangia hoja!!!
 
Mheshimiwa huyu, akihojiwa na TBC kuh bunge hili, amesema, pamoja na mengineyo, kuwa:

Kuna wabunge wenye taaluma ya sheria wametumia bunge kuonesha ujuaji wao kuliko 'waliobobea' kwenye sheria.

Wabunge hao 'wajuaji' wanataka kutafuta umaarufu kupitia bunge


My take:

Sikuwahi kumwona mh huyu akitoa mchango wowote bungeni, hivyo nadhani yuko hodari kuupepeta nje ya bunge kuliko ndani ya bunge.

Anasumbuliwa na wivu kwa wale wenye 'kitu' kichwani, wanapotumia kujua kwao kwa manufaa ya nchi.

Siasa zinaendana na umaarufu. Ni bora kwa mwanasiasa yeyote kutafuta umaarufu kupitia majukwaa kama bungeni, badala ya njia nyinginezo kama hongo, upendeleo (wa viti maalum - kama mheshimiwa huyu alikopitia hadi kuibukia mjengoni).
Bado ana gamba usoni - linalomfanya asijue wananchi wanataka nini.

Yeye, kama wabunge wenzake, wako bungeni kuwakilisha u-ccm wao badala ya wananchi


Aisee, kumbe na wewe ulimwona huyu dada alivyokuwa anachemka, yaani kuna watu wengine hawajui hata hii nchi imetoka wapi na inaenda wapi, jinsi alivyoongea huyu dada ni very low na nilitamani kama ningeweza kutana nae pale pale nimpe vidonge vyake!

Nimeshawishika pasipo shaka Tundu Lisu ni sawa na wabunge 150 wa CCM, na bado, kufa hawafi ila cha moto watakiona.
 
haswa huu ni mfumo wa kijuha kwa kweli tuanzishe move utaratibu huu ubadilishwe kwani unakandamiza haki za wali wengi kwa manufaa ya wachache.


Viti maalumu ni ubabaishaji tu! Kuna rafiki yangu mmoja kutoka nchi iliyojengeka sana kidemokrasia aliniambia, huko kwao mfumo wa kijuha namna hii hauwezi kutumika.
 
Huyu Binti Kimada tuu... ALikua anaitwa Leila akamkimbia Mumewe (Mr. Eddy...jamaa kazamia Japani baada yakuporwa mke) kisa alipendwa na Kigogo na kupewa Ubunge wa Kiti Maridadi aka Kiti Maaalum.. Hamna Kitu.
 
Hivi hii CCM haioni kua inatuibia pesa zetu mchana mchana jamani?


kijiwe kama Lucy Mayenga naye eti ni mwakilishi wa wana inji eti!!?
 
Mm nimefurahi sana jinsi Tundu alivyowatoa nishai hawa wanaojifanya wazoefu katika bunge Sitta na mwenzie Werema. Ile mashine ni horse power kubwa. Ila katika katiba ijayo hili swala la wabunge kuitikia ndiooo hata kama vitu vibovu tutalifanyia kazi ili iwe mwisho wa uccm ndani ya mjengo
 
kwa kweli lucy mayenga ameonyesha ukiazi wa hali ya juu! alidhani bungeni ni kule kwenye kugombea pilau za chama! mshaurini ajaribu kuomba admissn OUT.tunahitaji pia kufwatilia cheti cha manyanya.
 
Mimi sielewi huku kutafuta umaarufu kukoje,kunaanza lini na umaarufu kwa nani.Vinginevyo huyo dada ndiye anayetafuta umaarufu kwa wale waliojivua makamba, I mean,magamba. Amefanya hivyo kupitia TBC kwa sababu yeye si maarufu. Anashangaza kupakaza mkakati wake wa kutafuta umaarufu kwa watu walio maarufu tayari. Lissu alishakuwa maarufu tangu enzi ya kupigania haki ya watu wa Bulyankulu Kahama waliopoteza ndugu zao wachimbaji wadogo wa dhahabu waliofukiwa ili kumpa eneo hilo mkioloni wa leo. Harakati zake hizo zilifanywa miaka 15 nyuma.

Alikuwa maarufu tayari katika kupigania kisheria haki ya Watanzania ambao mazingira yao yanaharibiwa na wakoloni wa leo kwa namna tofauti tofauti ikiwemo uchimbaji madini.Amefanya mengi sana kwa nchi hii na jina lake lilishakuwa maarufu zaidi ya miaka 10 nyuma. That's why nauliza kutafuta umaarufu kukoje ,kunaanza lini na kunafanywa kwa nani kwa sababu leo Lissu anatafuta umaarufu gani wakati tangu mwaka 1996 alishakuwa maarufu miongoni mwa Watanzania wote.Tuache wenye upendo wa dhati wa nchi hii wafanye kazi kwa manufaa ya nchi hii badala ya kuwarudisha nyuma kwa hii kauli ya kipuuzi ya "kutafuta umaarufu"
 
kwanza hivi viti vya upendeleo vifutwe, Tanzania tunaidadi kubwa ya wanawake katika nafsi mbali mbali za uongozi kuliko Marekani na Uingereza huko hakuna nafasi za upendeleo, uwezi kuingiza kila mtu kutunga sheria za nchi bila kujari weledi, tufanye kama wengini kila mbungea au kiongozi anagombea hakutakuwa na utumbo kaka huu, hivi vitu ni chakula ya wazee tu!!!!
Mheshimiwa huyu, akihojiwa na TBC kuh bunge hili, amesema, pamoja na mengineyo, kuwa:

Kuna wabunge wenye taaluma ya sheria wametumia bunge kuonesha ujuaji wao kuliko 'waliobobea' kwenye sheria.

Wabunge hao 'wajuaji' wanataka kutafuta umaarufu kupitia bunge


My take:

Sikuwahi kumwona mh huyu akitoa mchango wowote bungeni, hivyo nadhani yuko hodari kuupepeta nje ya bunge kuliko ndani ya bunge.

Anasumbuliwa na wivu kwa wale wenye 'kitu' kichwani, wanapotumia kujua kwao kwa manufaa ya nchi.

Siasa zinaendana na umaarufu. Ni bora kwa mwanasiasa yeyote kutafuta umaarufu kupitia majukwaa kama bungeni, badala ya njia nyinginezo kama hongo, upendeleo (wa viti maalum - kama mheshimiwa huyu alikopitia hadi kuibukia mjengoni).
Bado ana gamba usoni - linalomfanya asijue wananchi wanataka nini.

Yeye, kama wabunge wenzake, wako bungeni kuwakilisha u-ccm wao badala ya wananchi
 
Sipati picha bunge la 2020 litakuwa vipi!! Vilaza hawatakuwepo.

Nitaomba bunge la kujadili mswada lifanyike uwanja wa Taifa. Ili na wenye inchi tuwepo na yule atakaye sema ndio kwa uduanzi wa kusupport chama tunamalizana nae hapo hapo.
 
hawa wanapelekwa bungeni kwa ajili ya CHAKULA..............mods nilinde bana, niko sawa kabisa!!! qwi qwi qwi qwi..........
 
kwa muda sasa nimekua na hisia kali kua pinda si mtoto wa mkulima tena,kweli ukitembea na teja nawe utaonekana teja
 
Wanajamii nisaidieni Manyanya alichemka nini?mie nilimshuhudia tu Mbowe asubuhi alipowapasua.
Kwa Lucy nilimsikia,nina hakika hata yeye ajui kaongea nini maybe mtamsikia wakati bunge linajadili mambo ya talaka maana huko anauzoefu
 
Back
Top Bottom