Maoni ya Lucy Mayenga (Mb) Kuhusu Bunge lililoahirishwa leo

Mbunge anawajibika kwa maslahi ya makundi manne mpiga kura wake, kwa chama chake kilichompa ridhaa, kwa taifa lake na yeye mwenyewe binafsi. Hivyo mbunge anabaki kuwa ni mwenye kuangalia maslahi yote hayo. Akiona swala husika linalengo la kukiathiri chama chako hawezi kuliunga mkono. Pia ikiliona swala ni la maslahi kwa taifa hata kama linakiathiri chama chake ataliunga mkono.
Kwa hiyo mifano ya ufafanuzi michache utakuwa umeelewa. CCM wamekuwa wakifanya uamuzi mbalimbali ambao ulikuwa kwa maslahi ya taifa na ulikuwa unakiathiri chama. Mfano sakata la Richmond na Escrow. Uamuzi ulitolewa na wabunge wengi wa ccm ambao ndio wafanya uamuzi. Ukibisha kwa hili nitajua nawasiliana na mtu gani. Wabunge wa ccm wanaongoza kwa kuangalia maslahi ya taifa.

Siwezi kukubishia na nadhani ndiyo sababu nimemjibu huyo jamaa yangu.Wabunge wa CCM wanafikiria MATUMBO yao zaidi kuliko TAIFA.Ni bora nimchague mbunge anayeangalia TAIFA kwanza then JIMBO baadaye Chama kuliko Chama kwanza Taifa mwisho
 
Mkuu si nmekuomba mfano tu wa hoja ilioanzishwa na mwanaccm ya kuisulubu serikali na akasimama nayo mpaka mwisho????

Nmeshakwambia wanaccm huwa kwanza wanasoma upepo wakiona wananchi wamekuwa wakali ndio utaona na wenyewe wanaunga tela ila huwezi kuta ccm anaanzisha hoja kma lugumi eti anaisulubu serikali au analeta jedwali la marekebisho kwenye miswada mizito ya serikali kma ule wa gesi au cybercrime!!! Kma yupo nipe mfano
Hoja ya vibali vya sukari ya Mzindakaya iliyosababisha Idd Simba kujiuzuru uwaziri wa viwanda.
 
Siwezi kukubishia na nadhani ndiyo sababu nimemjibu huyo jamaa yangu.Wabunge wa CCM wanafikiria MATUMBO yao zaidi kuliko TAIFA.Ni bora nimchague mbunge anayeangalia TAIFA kwanza then JIMBO baadaye Chama kuliko Chama kwanza Taifa mwisho
Wabunge wa chadema wanaangala chama kwanza. Wao hata taifa taifa likiangamia sawa tu ili mradi atakayelaumiwa ni ccm mtawala. Nchi ikikosa msaada chadema wanashereheka. Malawi wakitoa kauli kuhusu ziwa Nyasa chadema wanaiunga mkono na nyie maboya yao humu mitandaoni ndio inakuwa habari. Chadema hawajawahi unga mkono bajeti yoyote hata inayopeleka dawa hospitali na maji mjini na vijijini. Unaowaita watetezi wa maslahi ya umma wanatoka wapi kwa hayo niliyoyataja.
Chadema mliuhadaa umma kwa kauli ya maslahi ya taifa enzi za katibu Dr Slaa na umma ukahadaika. Baadaye rangi yenu na umbile lenu la nyoka mwenye sumu imebainika. Hamna maslshi ya umma wala nini nynyi ni matumbo yenu tu. Pitia bajeti zao na michango yao bungeni kama utasikia mtu anaongelea miundombinu,afya,maji. Sana sana utasikia wakiwasema polisi wanavyokidhibiti chama chao kisifanye uhalifu dhidi ya utawala halali uliowekwa na wananchi kwa kura.
 
Hoja ya vibali vya sukari ya Mzindakaya iliyosababisha Idd Simba kujiuzuru uwaziri wa viwanda.
Acha upotoshaji ile hoja iliibuliwa na magazeti huyo mwanaccm alifanya kumalizia tu kilichokuwa tayari kinahit ni sawa na mbunge wa ccm sahvi apeleke bungeni kuhusu vyeti vya bashite au watu kutekwa nyara!!!!! Leta mfano hai mkuu
 
Wabunge wa chadema wanaangala chama kwanza. Wao hata taifa taifa likiangamia sawa tu ili mradi atakayelaumiwa ni ccm mtawala. Nchi ikikosa msaada chadema wanashereheka. Malawi wakitoa kauli kuhusu ziwa Nyasa chadema wanaiunga mkono na nyie maboya yao humu mitandaoni ndio inakuwa habari. Chadema hawajawahi unga mkono bajeti yoyote hata inayopeleka dawa hospitali na maji mjini na vijijini. Unaowaita watetezi wa maslahi ya umma wanatoka wapi kwa hayo niliyoyataja.
Chadema mliuhadaa umma kwa kauli ya maslahi ya taifa enzi za katibu Dr Slaa na umma ukahadaika. Baadaye rangi yenu na umbile lenu la nyoka mwenye sumu imebainika. Hamna maslshi ya umma wala nini nynyi ni matumbo yenu tu. Pitia bajeti zao na michango yao bungeni kama utasikia mtu anaongelea miundombinu,afya,maji. Sana sana utasikia wakiwasema polisi wanavyokidhibiti chama chao kisifanye uhalifu dhidi ya utawala halali uliowekwa na wananchi kwa kura.
Embu kuwa serious mkuu wananchi ni mashahidi kuwa wabunge wa ccm na chama kwa ujumla ni cha wachumia tumbo hakuna mwenye maslahi na nchi hii chadema walitoka nje katiba ilipotekwa ila wanaccm wakaendelea kubaki kiaa posho nzito. Miswada kibao wanaochangiaga kwa kupendekeza majedwali yaliyshiba ni upinzani hta wanaouliza maswali mengi na kuchangia zaidi ni upinzani na hta kwenye website ya bunge waliochangia zaidi ni mnyika akifuatiwa na lisu then matiko ssa hayo maccm yanakaa kimya tu hku miswada mibovu kma ule wa gesi unapitishwa ndio unadoubt uzalendo wa chadema????

Ccm miaka 50 nchi imewashinda uozo kila sector ndio unasema leo hii eti ccm wazalendo na chadema sio??? Wananchi ni mashahidi kuwa wanaowatetea ni chadema nyie ccm ni ndiooooooo bila kujua madhara ya maamuzi yenu!!

Eti hatukubali bajeti??? Ssa unajua kazi ya upinzani ni nini??? Opposition iko pale kuweka alteenative budget na policies ssa upinzani ukiunga mkono budget ya serikali 100% itakuwa na maana gani ya kuitwa upinzani kma thinking na policy ni zile zile za chama tawala???

Acha upotoshaji je umesoma full hotuba ya KUB mbona imegu! Mambo yote??? Bajeti kivuli umeshawahi ipitia?? Eti tunaongelea tu polisi kutukamata?? Ssa waziri kivuli wa viwanda na uchumi naye ataongelea suala la polisi?? U cant be serious
 
natamani kulia bi dada mwenzangu anapodondokwa na maneno bila kutarajia , nimeangalia bunge leo nikajiuliza maswali mengi hasa juu ya suala la uwakilishi wa wananchi kwenye hiki chombo nadhani kwenye katiba mpya tuweke kipengele cha mgombea binafsi , wabunge wanafikia maamuzi kwa kuangalia misimamo ya vyama vyao , leo Lissu alikuwa akiomba marekebisho kwa hoja za msingi lkn yalipigwa chini kwa kura za kutamka hapana ht walipoamua kupiga kura wakapiga kengele wabunge ambao hawakuwa wakijua nini kimeongelewa wakapiga kura
Hii ni kutuchezea watz na fedha zetu tunazowalipa wanazitumia hovyo nadhani tuanzishe utaratibu wananchi kuwahoji wabunge wetu juu ya kile wanachofanya bungeni kwa niaba yetu .

Well said sir.
Bunge la Tanzania ni kusanyiko la Manyani kasoro mkia(Wabunge wa CCM) isipokuwa tu Wabunge wa Upinzani.
Hilo la kuwahoji Wabunge wetu juu ya uwakilishi wao Bungeni ni la msingi sana. Tatizo ni hawa WABUNGE WA KUTEULIWA. Nani atawahoji maana kuingia kwao Bungeni anayejua ni huyo aliyawateua bila ridhaa yetu!!!!!
 
My take:

Sikuwahi kumwona mh huyu akitoa mchango wowote bungeni, hivyo nadhani yuko hodari kuupepeta nje ya bunge kuliko ndani ya bunge.

Yeye, kama wabunge wenzake, wako bungeni kuwakilisha u-ccm wao badala ya wananchi

Bajeti.jpg

SEMA USIKIKE...


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Back
Top Bottom