Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,530
- 32,736
baba yako ni profesa au dkta ?yupo ndani ya CCM au?? naona umeumiaUmeandika uki
Umeandika ukiwa unaharisha chooni? Nyambaf zako!!
baba yako ni profesa au dkta ?yupo ndani ya CCM au?? naona umeumiaUmeandika uki
Umeandika ukiwa unaharisha chooni? Nyambaf zako!!
Hata yeye yuko vizuri sana shida ni unafiki wa kulinda nafasi.Kwanini wasi mliplace huyu na yule wa vyerahani vinne?
Presidency not President
Kazi ya mchumi ni kuulinda na kusimamia uchumi. TTCL ni taasisi ya kibiashara inayopanga na kujiendesha kichumi. Huyo waziri aliyesoma HGL wapi na wapi na biashara? Au umekariri ukishakuwa waziri kila kitu unaweza? Hiyo ofisi unayoiponda inasimamia mashirika mengine ndio yenye wataalamu wa kutosha. Unataka shirika liendeshwe kwa utashi au weledi?Sasa huyu anataka treasury registrar aajiri inamaana serikali kwenye Mashirika ya reli, umeme, maji, Mawasiliano, matibabu, viwanda muajiri awe mmoja hivi huyo muajiri anakua na utaalamu gani wa kujua sifa na vigezo vya watu wote hao wakati fani yake ni uchumi?
Gawa majukumu kwa kila mtu ili kuwe na ufanisi waziri sio mjumbe wa nyumba 10/10
Lakini unaweza kushangaa watu wanaona anaongea points kumbe pumba tu, nimejua yaani kama utakua unapinga tu masuala Bungeni ndio nyumbu wanakuona wa maana bila kujali kipi unapinga na uhalali wake
Lool yani umenifurahisha kweli kweli bashe anaongea fact had mtu huchoki kumsikilizaAkili nzuri lakini ipo sehemu mbaya ....!!
bashe ni zaidi ya ma profesa na ma Dkt wote waliopo CCM
Katiba ya Tanzania sifa kuu ya waziri lazima awe mbunge na si awe na taaluma ya Wizara anayoiongozaKazi ya mchumi ni kuulinda na kusimamia uchumi. TTCL ni taasisi ya kibiashara inayopanga na kujiendesha kichumi. Huyo waziri aliyesoma HGL wapi na wapi na biashara? Au umekariri ukishakuwa waziri kila kitu unaweza? Hiyo ofisi unayoiponda inasimamia mashirika mengine ndio yenye wataalamu wa kutosha. Unataka shirika liendeshwe kwa utashi au weledi?
Appointing za wizarani zinatolewa na waziri husika akishauriwa na wataalam wa wizarani akiwamo katibu Mkuu ambao ndio wabobezi katika fani ya mteuliwa, huko treasury anashauriwa na nani? Au ndio hiyo one man show?Kazi ya mchumi ni kuulinda na kusimamia uchumi. TTCL ni taasisi ya kibiashara inayopanga na kujiendesha kichumi. Huyo waziri aliyesoma HGL wapi na wapi na biashara? Au umekariri ukishakuwa waziri kila kitu unaweza? Hiyo ofisi unayoiponda inasimamia mashirika mengine ndio yenye wataalamu wa kutosha. Unataka shirika liendeshwe kwa utashi au weledi?
Sasa huyu anataka treasury registrar aajiri inamaana serikali kwenye Mashirika ya reli, umeme, maji, Mawasiliano, matibabu, viwanda muajiri awe mmoja hivi huyo muajiri anakua na utaalamu gani wa kujua sifa na vigezo vya watu wote hao wakati fani yake ni uchumi?
Gawa majukumu kwa kila mtu ili kuwe na ufanisi waziri sio mjumbe wa nyumba 10/10
Lakini unaweza kushangaa watu wanaona anaongea points kumbe pumba tu, nimejua yaani kama utakua unapinga tu masuala Bungeni ndio nyumbu wanakuona wa maana bila kujali kipi unapinga na uhalali wake
Mali ni ya umma au ni ya mtumishi wa umma? Sheria gani inasema Mashirika ya umma ni mali ya registrar?Yaania Registrar ndio mwenye mali kisheria, swali utakuwaje mwenye mali wakati uwezi kusimamia mali??? wanasiasa wanayo nia lakini wanatia mikono yao hawataki kutoka asilimia mia waziri siku hizi pia hanauhakika na kesho yake lakini msajili yuko siku zote mbona raisi ni mmoja.
Anza kugawa majukumu ya raisi kwa kuleta katiba mpya uone Pogba na timu yake anavyosimamia vidole gumba. Bashe hapingi ananatimiza wajibu wake wa kufikiri tofauti na wewe ebu anza kufikiri tofauti uone raha ya maisha. Umeshadumisha sana fikra za mwenyekiti ebu weka na fikra zako uoene kama atuendi hata Dr. Louis kakushinda na katoka nje ya box na ametusua.
CCM tumekamilika kila idara, hapo Bashe anakesha akijisomea nondo, akifika bungeni anashusha nondo tupu. Huku kuna Milinga na Kusinde wakiinuka wanatukanatukana mitusi wanakaa. Mtakatizia wapi
Mali ni ya umma au ni ya mtumishi wa umma? Sheria gani inasema Mashirika ya umma ni mali ya registrar?
Hata Rais anavyoteua kila mtu ipo kisheria na kikatiba the same way to the minister anateua akishauriwa na wataalam wa wizarani akiwamo katibu mkuu wa wizara.
Registrar ni kama commissioner wa TRA kisa yeye anakusanya kodi ndio apangie matumizi kodi?
Umumuelewa Bashe?? Unajua kzi ya board of directors?? Unajua wanatakiwa wawe na sifa zipi??Sasa huyu anataka treasury registrar aajiri inamaana serikali kwenye Mashirika ya reli, umeme, maji, Mawasiliano, matibabu, viwanda muajiri awe mmoja hivi huyo muajiri anakua na utaalamu gani wa kujua sifa na vigezo vya watu wote hao wakati fani yake ni uchumi?
Gawa majukumu kwa kila mtu ili kuwe na ufanisi waziri sio mjumbe wa nyumba 10/10
Lakini unaweza kushangaa watu wanaona anaongea points kumbe pumba tu, nimejua yaani kama utakua unapinga tu masuala Bungeni ndio nyumbu wanakuona wa maana bila kujali kipi unapinga na uhalali wake