Maoni ya Hussein Bashe bungeni kuhusu TTCL

Maoni ya Hussein Bashe bungeni kuhusu TTCL

Natabiri Mh.Hussein Bashe Kuteuliwa kuwa waziri au naibu waziri mda si mrefu, MARK MY WORDS.
 
Watasema ametumwa lakini anajua kichwani akili kubwa
 
Natamani bashe awe next prezdaa.after Magufuli
 
Sasa huyu anataka treasury registrar aajiri inamaana serikali kwenye Mashirika ya reli, umeme, maji, Mawasiliano, matibabu, viwanda muajiri awe mmoja hivi huyo muajiri anakua na utaalamu gani wa kujua sifa na vigezo vya watu wote hao wakati fani yake ni uchumi?

Gawa majukumu kwa kila mtu ili kuwe na ufanisi waziri sio mjumbe wa nyumba 10/10

Lakini unaweza kushangaa watu wanaona anaongea points kumbe pumba tu, nimejua yaani kama utakua unapinga tu masuala Bungeni ndio nyumbu wanakuona wa maana bila kujali kipi unapinga na uhalali wake
 
Back
Top Bottom