Maoni ya Hussein Bashe bungeni kuhusu TTCL

Maoni ya Hussein Bashe bungeni kuhusu TTCL

Sasa huyu anataka treasury registrar aajiri inamaana serikali kwenye Mashirika ya reli, umeme, maji, Mawasiliano, matibabu, viwanda muajiri awe mmoja hivi huyo muajiri anakua na utaalamu gani wa kujua sifa na vigezo vya watu wote hao wakati fani yake ni uchumi?

Gawa majukumu kwa kila mtu ili kuwe na ufanisi waziri sio mjumbe wa nyumba 10/10

Lakini unaweza kushangaa watu wanaona anaongea points kumbe pumba tu, nimejua yaani kama utakua unapinga tu masuala Bungeni ndio nyumbu wanakuona wa maana bila kujali kipi unapinga na uhalali wake
Hahahaha na we nae unajiona umeongea points kumbe pumba tu, ivi utumishi wanavyoajiri kila siku watu tofauti tofauti tofauti katika kada tofauti wanajua kila kitu? Ikitangazwa kazi linatafutwa jopo la wataalam wa fani husika wanamfanyia usaili muhusika na hapo mtaalam mpya anakuwa amepatikana kwa kada hisika, hilo ndio linalofanyika sasa we unataka kila siku watu wanakua appoited tuu, mnapeana ulaji kidugu ndugu tu na kwa kujuana juana, hovyo kabisa hatuwezi endelea kwa upuuzi huu
 
Hahahaha na we nae unajiona umeongea points kumbe pumba tu, ivi utumishi wanavyoajiri kila siku watu tofauti tofauti tofauti katika kada tofauti wanajua kila kitu? Ikitangazwa kazi linatafutwa jopo la wataalam wa fani husika wanamfanyia usaili muhusika na hapo mtaalam mpya anakuwa amepatikana kwa kada hisika, hilo ndio linalofanyika sasa we unataka kila siku watu wanakua appoited tuu, mnapeana ulaji kidugu ndugu tu na kwa kujuana juana, hovyo kabisa hatuwezi endelea kwa upuuzi huu
We ni wa kuonewa huruma
 
Kijana wangu keep it up!! We believe you
 
Sasa huyu anataka treasury registrar aajiri inamaana serikali kwenye Mashirika ya reli, umeme, maji, Mawasiliano, matibabu, viwanda muajiri awe mmoja hivi huyo muajiri anakua na utaalamu gani wa kujua sifa na vigezo vya watu wote hao wakati fani yake ni uchumi?

Gawa majukumu kwa kila mtu ili kuwe na ufanisi waziri sio mjumbe wa nyumba 10/10

Lakini unaweza kushangaa watu wanaona anaongea points kumbe pumba tu, nimejua yaani kama utakua unapinga tu masuala Bungeni ndio nyumbu wanakuona wa maana bila kujali kipi unapinga na uhalali wake
logic yake maamuz makubwa yasiwe yanatoka kwa waziri (political figures) hawa sio wote wenye utaalam wa haya mambo weng wanafanya kisiasa iende kwa watu wanaoendesha mashirika kitaaluma na sio kisiasa
haiwezekan mtu anaepewa jukuma la kusimamia shirika then hana maamuzi ya juu hilo shirika huon sheria imejichanganya hapo???

it require an intelligent person to understand the intelligent person

kama hukumuelewa nishajua tatzo lako ni nn
 
Yaania Registrar ndio mwenye mali kisheria, swali utakuwaje mwenye mali wakati uwezi kusimamia mali??? wanasiasa wanayo nia lakini wanatia mikono yao hawataki kutoka asilimia mia waziri siku hizi pia hanauhakika na kesho yake lakini msajili yuko siku zote mbona raisi ni mmoja.

Anza kugawa majukumu ya raisi kwa kuleta katiba mpya uone Pogba na timu yake anavyosimamia vidole gumba. Bashe hapingi ananatimiza wajibu wake wa kufikiri tofauti na wewe ebu anza kufikiri tofauti uone raha ya maisha. Umeshadumisha sana fikra za mwenyekiti ebu weka na fikra zako uoene kama atuendi hata Dr. Louis kakushinda na katoka nje ya box na ametusua.
Mambo yenye maslai mapana kwa taifa ukiwaachia hawa wahuni twafa. Bora waziri Mara 100. Mashitaka mengi mpaka sasa ni yanatumiwa vibaya na hiyo TR akishirikiana na CEOs na Bodi.
 
Umma uliuona wapi, katika kazi na sifa za kiongozi mojawapo ni figure head hii ni kazi ya asili ya kiongozi maana yake kiongozi au afisa husika ndiye anayewakilisha umma, sababu umma haupo katika kuendesha mali. Hapa jifiche aibu yako ya kutokujua ili ujifunze zaidi na uongozi. Hata ukisema nchi ni fictitious, raisi akisimama ndio nchi hiyo. Ukiambiwa msajili wa hazina kwa mamlaka aliyopewa yeye ndio anakuwa umma kwa nafasi na kwa mujibu wa sheria iliyomuweka. Registrar ni msajili sio sawa na commissioner wa TRA ebu dogo ingia chaka usome kidogo ili ukija tuone uko dip hata kidogo.
Nawe hapo una mawenge.
 
Soma Job Description ya Msajili wa Hazina. Sheria inatamka kwamba yeye ndio msimamizi wa mashirika yote ya umma. Sasa Bashe anauliza swali la msingi sana..Msajili atasimamiaje shirika la umma kama sheria inayounda nafasi yake inavyoelekeza...huku sheria inayoanzisha shirika hilo ikimpa waziri powers za usimamizi? Maana yake ni kwamva msajili anakosa meno ya kufanya kazi yake. Labda kama wewe unataka msajili asiwepo kabisa
Meno ni kwa levels.
 
logic yake maamuz makubwa yasiwe yanatoka kwa waziri (political figures) hawa sio wote wenye utaalam wa haya mambo weng wanafanya kisiasa iende kwa watu wanaoendesha mashirika kitaaluma na sio kisiasa
haiwezekan mtu anaepewa jukuma la kusimamia shirika then hana maamuzi ya juu hilo shirika huon sheria imejichanganya hapo???

it require an intelligent person to understand the intelligent person

kama hukumuelewa nishajua tatzo lako ni nn
Wewe unajua taratibu za uteuzi wizarani au unadhani tu waziri anaweza kuamka asubuhi na jina la mtu wake mfukoni?
 
....At the moment Bashe is the best CCM MP...It is very unfortunate that instead of using him efficiently anapigwa vijembe kwamba si mzalendo...
 
Wewe unajua taratibu za uteuzi wizarani au unadhani tu waziri anaweza kuamka asubuhi na jina la mtu wake mfukoni?
Kwa nin hatuoni namna nyingine bora ya kupata watu wazuri kwenye nafasi za utendaji zaidi ya uteuzi?? haihitaji akili nyingi kubaini dosari iliyopo kwenye vyombo vinavyomsaidia mteuzi kupata watu wanaofaa kiutendaji..nadhani wao wenyewe akili yao ni dhaifu inafanya kwa mazoea tu! zama hizi mambo ya kuteua teua hasa kwa nchi zetu zinazotaka kupiga hatua haraka kimaendeleo zimepita..mtu ahojiwe kama kazi anayotaka kupewa ataiweza, ana mambo gani mapya!!! mambo ya kanuni, taratibu na sheria yameshapitwa na wakati, tunahitaji problems fixers!
 
Wewe unajua taratibu za uteuzi wizarani au unadhani tu waziri anaweza kuamka asubuhi na jina la mtu wake mfukoni?
..katibu mkuu wa wizara ameteuliwa siku mbili zilizopita, siku anaapishwa anahojiwa na media maneno aliyojiandaa nayo ni "nitafuata sheria, kanuni na taratibu.." kwa kifupi huyu hana kosa, waliompendekeza kwa mteuzi ndio hawafai kwa kazi waliyopewa!
 
Back
Top Bottom