Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,242
Kwa jinsi matokeo yalivo katika shule hizi za kata,...
Ni wakati sasa wa kutafuta ufumbuzi maalumu kuhusu elimu ya watoto wa Tanzania wasio na uwezo wa kusoma shule za kimataifa (International).
Tusije kuwa tuna kimbilia kutimiza malengo ya milenia kwa kuzalisha makada (mazuzu) wengi ambao ni kama bomu baadae!
kwa matokeo haya?
kwa mfano:
shule ina wanafunzi 207
DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 18 DIV-IV = 109 FLD = 79
hawa waliofeli ni kama bomu ambalo siku likiripuka,sipati kutoa mfano!
Naamini kabisa kwamba wangeweza kufanya vyema,ila mazingira wanayo somea mmmh!
Ni wakati sasa wa kutafuta ufumbuzi maalumu kuhusu elimu ya watoto wa Tanzania wasio na uwezo wa kusoma shule za kimataifa (International).
Tusije kuwa tuna kimbilia kutimiza malengo ya milenia kwa kuzalisha makada (mazuzu) wengi ambao ni kama bomu baadae!
kwa matokeo haya?
kwa mfano:
shule ina wanafunzi 207
DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 18 DIV-IV = 109 FLD = 79
hawa waliofeli ni kama bomu ambalo siku likiripuka,sipati kutoa mfano!
Naamini kabisa kwamba wangeweza kufanya vyema,ila mazingira wanayo somea mmmh!