Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,888
- 38,526
Mkuu kama unamfatilia ni mchezaji mzuri mkuu kwa hilo tumpe haki yake.Mbwana hata genk huwa ni bahati tu inamuangukia ya kufunga. Lkn huwa sioni km ni mchezaji wa kiwango kikubwa km tunavyoaminishwa!! Mbwana hawezi kucheza England hata division 1. Hakuna timu ya England inayoweza kumnunua!!