Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Samatta hana la kupoteza ndio maana akija timu ya Taifa hajitumi anacheza hovyo tu kuogopa majeruhi.
Kuna mechi Taifa Stars walishinda bila yeye asituletee u-star wake, mtu ligi kubwa anafunga magoli, UEFA hadi Liverpool anafunga ila mechi ya timu ya Taifa anafunga penati tu, hata nusu ya Msuva hafikii hiyo namba 10 apewe hata Ajibu.
Kuna mechi Taifa Stars walishinda bila yeye asituletee u-star wake, mtu ligi kubwa anafunga magoli, UEFA hadi Liverpool anafunga ila mechi ya timu ya Taifa anafunga penati tu, hata nusu ya Msuva hafikii hiyo namba 10 apewe hata Ajibu.