Maoni: Samatta ni mzigo Taifa Stars, aondolewe

Samatta na bahati ya kutajwa tu midomoni mwa watu, ila haujui mpira kama Msuva,.. Msuva kwetu ndiye msaada wetu,.. Naamini Nchimbi na Msuva na Chilunda wangepewa combination ya Kumaliza kule mbele, tungevuna magoli sana,.. Ila huyu samatta, hamna lolote,.. Aachwe tu
 
Samata hana la kupoteza ndo maana akija timu ya taifa hajitumi anacheza hovyo tu kuogopa majeruhi.

Kuna mechi taifa stars walishinda bila yeye asituletee u-star wake,mtu ligi kubwa anafunga magoli ,UEFA hadi liverpool anafunga ila mechi ya timu ya taifa anafunga penati tu,hata nusu ya Msuva hafikii hiyo namba 10 apewe hata ajibu.
Ni Wivu tu labda Sammata huyu anatumia Mguu wa BAUNSA.
 
Samatta amekua bitozz sana.. hata kama alikua anaogopa kuumia.basi angetoa passi za kueleweka au movement zake zingezaa mipira hatari kama wanavyo fanya mastar wajuu kama kina neymar, ronaldo, ronaldinho etc.


Tatizo lake analazimisha aonekane mwema, ana cheka tuu.. sijawahi kuona messi au ronaldo au neymar anacheka timu yake y taif ikifungw..

Vita ni vita muraa..
Samatta na bahati ya kutajwa tu midomoni mwa watu, ila haujui mpira kama Msuva,.. Msuva kwetu ndiye msaada wetu,.. Naamini Nchimbi na Msuva na Chilunda wangepewa combination ya Kumaliza kule mbele, tungevuna magoli sana,.. Ila huyu samatta, hamna lolote,.. Aachwe tu
 
Mkuu samatta anazingua.. tatizo yeye tuu ndio anacheza ligi kubwa..

Natamani kina kelvin john wakue waje waonyeshe nini maana ya kuwa mchezaji mkubwa.
Shida sisi wabongo tunajidai kila kitu tunajua. Mtu hata mpira hajawahi cheza anasema samatta anazingua. unajua role yake alokuwa amepewa leo? unajua workrate yake leo uwanjani. Muachenk Samatta hakuna mchezaji kama Samatta kwa sasa Tanzania. Samatta ndo next level
 
Hovyo kabisa samata ameshajiona super star sio yeye tu ni hulka za hovyo za watz hata mtu akifungua biashara akiona inachanganya anaanza nyodo..maofisin hivyo hivyo sisi tuna upuuzi mwingi sana.sana sana
 
Kila nikijitoa kuishabikia taifa stars tunafungwa ha ha ha! Nimeizira nitakuwa nasubiri kombe la dunia tu nishabikie mabeberu huko ndo kuna mpira.. hadi wamemkata magu shauku!! Sahivi ikulu wata
pasikia tu😂😂
 
Mkuu samatta anazingua.. tatizo yeye tuu ndio anacheza ligi kubwa..

Natamani kina kelvin john wakue waje waonyeshe nini maana ya kuwa mchezaji mkubwa.
Hivi unampima Samatta kwa hizi mechi 2? Umeangalia mechi ngapi za stars? Huuoni kabisa mchango wake kweli?
 
Mbwana hata genk huwa ni bahati tu inamuangukia ya kufunga. Lkn huwa sioni km ni mchezaji wa kiwango kikubwa km tunavyoaminishwa!! Mbwana hawezi kucheza England hata division 1. Hakuna timu ya England inayoweza kumnunua!!
 
Mbwana hata genk huwa ni bahati tu inamuangukia ya kufunga. Lkn huwa sioni km ni mchezaji wa kiwango kikubwa km tunavyoaminishwa!! Mbwana hawezi kucheza England hata division 1. Hakuna timu ya England inayoweza kumnunua!!
Na akisajiliwa EPL utasemaje?
 
Ukweli ni kwamba mechi ya jana katuua Ramadhani Kessy sijui alikuwa amevuta bangi ya wapi jana.

Timu inashambuliwa yeye yuko kwenye final third ya Libya sijui alikuwa anataka nini yule fala, anafanya tackling ya faulo ndani ya kumi na nane huu upumbavu.
 
Mbwana hata genk huwa ni bahati tu inamuangukia ya kufunga. Lkn huwa sioni km ni mchezaji wa kiwango kikubwa km tunavyoaminishwa!! Mbwana hawezi kucheza England hata division 1. Hakuna timu ya England inayoweza kumnunua!!
Daah mkuu kakukosea nini huyu dogo?
 
.
FB_IMG_1574093826081.jpeg
 
Back
Top Bottom