Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,735
- 5,967
Samatta na bahati ya kutajwa tu midomoni mwa watu, ila haujui mpira kama Msuva,.. Msuva kwetu ndiye msaada wetu,.. Naamini Nchimbi na Msuva na Chilunda wangepewa combination ya Kumaliza kule mbele, tungevuna magoli sana,.. Ila huyu samatta, hamna lolote,.. Aachwe tu