Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,183
- 28,874
Katika uislam hakuna ndoa ya muislam na asiyekuwa wa dini hiyo. Kama ni lazima aolewe ni sharti akubali tena kwa hiari yake kuwa muislam ndipo ndoa ifungwe. Tusichanganye kati ya watu wenye majina ya kiislamu who knows nothing about the morals and values of the religion, and the true muslims. Kuzaa na mkristu haimaanishi kuwa ni mkeo, huyo ni mzinzi mwenzio na huyo mtoto katika dini hatambuliki.
HUU NDIO UKWELI
Katika uislam hakuna ndoa ya muislam na asiyekuwa wa dini hiyo. Kama ni lazima aolewe ni sharti akubali tena kwa hiari yake kuwa muislam ndipo ndoa ifungwe. Tusichanganye kati ya watu wenye majina ya kiislamu who knows nothing about the morals and values of the religion, and the true muslims. Kuzaa na mkristu haimaanishi kuwa ni mkeo, huyo ni mzinzi mwenzio na huyo mtoto katika dini hatambuliki.
HUU NDIO UKWELI
sikatai mawazo yako ...ila wajua kwamba waislam ni wengi wanaooa dada zetu kuliko wakristo.... na kwa taarifa tu ,they feel proud kuoa wakristo na wanasisitiza hilo...
No Offence please
Mbona Mzee Makamba kamuo Mkristo na kila mtu yupo na dini yake ile ile na mzee Makamba ni muumini mzuri tuu...
Mbona Mzee Makamba kamuo Mkristo na kila mtu yupo na dini yake ile ile na mzee Makamba ni muumini mzuri tuu...
Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,
Taqfadhali maoni.
NO OFFENCE PLEASE.
Siasa ktk dini
Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,
Taqfadhali maoni.
NO OFFENCE PLEASE.
Hao uliyowataja wanastahili HONGERA maana wanakubalika na shangazi na mamdogo (maelewano kwanza)...ninachofahamu kwa uelewa wangu mdogo, ndoa hizo mara nyingi hufungwa baada ya vita kubwa sana ktk familia na baada ya hapo watoto mara nyingi wanakosa msimamo wa dini ipi kuifuata kunakuwa na mchanganyiko wa imani, wakienda kwa shangazi avutia kwa uislamu, wakienda kwa mamdogo ukristo...nina rafiki ambaye baba ni muislamu na mama mkristo, mwezi mtukufu wanafunga lkn kipindi kingine chote cha mwaka wanakuwa wanakwenda kanisani na mama... mh, sielewi kwa kweli, labda wenye experience zaidi watujuze
Kwa sababu mke ni rahisi kufata dini ya mumewe na Uislaam umekuja kukukomboa kutoka katika kuabudu masanamu na binaadam wenzio na kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu mmoja ambae hakuzaa wala hakuzaliwa, hakuna anaye fanana naye hata mmoja.
ni nini hiyo??
Mbona Mzee Makamba kamuo Mkristo na kila mtu yupo na dini yake ile ile na mzee Makamba ni muumini mzuri tuu...
Red''''= nilisha kombolewa zamani na Mungu ninaye muamini mimi ndio huyo wewe wamuamini, hivyo uislamu si ukombozi.
Blue'''=umeandika kashfa na ni kejeli... so unaharib mfungo wako,,, or else ni Muislam jina....
unachekesha kweli,eti kutoa watu kizani
kuwaleta kwny nuru hahahahaaaaaa!!pole maana
huku kwetu dada zenu wanabadili dini kila kukicha so
mapenzi ni makubaliano ya wawili!!
Red''''= nilisha kombolewa zamani na Mungu ninaye muamini mimi ndio huyo wewe wamuamini, hivyo uislamu si ukombozi.
Blue'''=umeandika kashfa na ni kejeli... so unaharib mfungo wako,,, or else ni Muislam jina....
nimewahi kumtongoza binti wa kiislam/mpemba kwa lugha ya ndoa akagoma kwa madai kuwa kiimani hakuna ndoa kati ya dini tofauti. Nilimuelewa kwa sababu hata ktk ukristo ndoa kt ya dhehebu kwa dhehebu inaleta shida hasa ukitaka ibada ya ndoa.