Ukitaka kujua nguvu za mwanaume, mguse mke wake.
Ukitaka kujua nguvu za mwanaume, mguse mke wake.
Wewe&mimi hatuna jbu sahihi tumsubirie yeye ama mamlaka ya uteuzi itasema ukweli kama amejiuzulu ama wamembashiteAngejiuzulu barua yake tungeiona...halafu hakuwa na sababu ya kujiuzulu kwasababu suala la clouds alishalisolve akaiachia mamlaka ya juu! Hivyo mamlaka za juu wakaona wampumzishe yeye bila hata kumjulisha...ni kama kwenda ofisini ukakuta ofisi yako kakaa mtu mwingine bila taarifa! Ni maamuzi ya bosi, yaheshimiwe...
Ndio siasa za bongo hizo. Mbona kawaida sanaUtasikia chama kile wanamsifia.....wanasahau kama alikuwa anawapiga mawe
endelea kujifariji kwa maneno mazuriHabari wadau!
Ukisoma barua ya Ikulu inajieleza wazi kuwa rais hajatengua uteuzi bali inaonyesha rais kafanya mabadiliko kwa nafasi iliyokuwa wazi.
Hivyo nimeamini Nape alisimamia kauli zake kuwa atajiuzulu iwapo mambo yataenda nje ya ushauri wa kamati.
Hivyo nchi hii inaongozwa na mkuu wa mkoa wa dar sio kama tunavyodhani
baaahhh...!!!!Ukitaka kujua nguvu za mwanaume, mguse mke wake.
Mkuu, barua ya ikulu haijazungumzia kujaza nafasi iliyo wazi. Labda unazungumzia barua ya Nape ambayo hatujaiona.Habari wadau!
Ukisoma barua ya Ikulu inajieleza wazi kuwa rais hajatengua uteuzi bali inaonyesha rais kafanya mabadiliko kwa nafasi iliyokuwa wazi.
Hivyo nimeamini Nape alisimamia kauli zake kuwa atajiuzulu iwapo mambo yataenda nje ya ushauri wa kamati.
Hivyo nchi hii inaongozwa na mkuu wa mkoa wa dar sio kama tunavyodhani
wewe bavaria wewee kwaiyo...Ukitaka kujua nguvu za mwanaume, mguse mke wake.