Maoni na ushauri katika kuweka plasta nyumba

Maoni na ushauri katika kuweka plasta nyumba

Mankumbi

New Member
Joined
Mar 11, 2016
Posts
2
Reaction score
1
Nyumba iko boko

Ukubwa - square meter 190 (4 bedrooms)

Mafundi watatu wameniambia kupiga plasta ni milioni 3.5 ikipungua sana 3

Mchanga na smenti gharama ya kununua haizidi milion 1, sasa labour charge mara 3 ya vifaa is it fair kweli? Uwezo wa kulipa hiyo hela ninao ila nataka maoni yenu hasa mlioko sekta ya ujenzi.

Nikiwauliza kulikoni hiyo bei wananiambia mfuko wa smenti ndo umeshuka, wa mchele umepanda.
 
Mkuu nakushauri ununue mchanga na sementi....alafu uongee na fundi kuhusu ufundi...
 
Ndo zao ukiwanyima kaz wanalalamika me waambiaga nitakutafuta siku akipita anakuta kaz ishafanyia ana bak kulialia to
 
Nipe namba yako tufanye kazi...
Bei yetu imepoa zaidi
Weka gharama zako hapa jukwaani. Hizo mambo za nipe namba yako imekaa kitapeli zaidi. Weka numbers (Figures) kwa manufaa ya umma.
 
Back
Top Bottom