MAONI na MAPENDEKEZO ya CUF kwa Rais Kikwete: Soma nyaraka nzima...

Nyaraka hiyo imetolewa kwa vyombo vya habari leo na Naibu Katibu mkuu(bara) wa CUF MH.Juliasi Mtatiro alipokuwaakiongea na waandishi wa habari Makao makuu ya CUF.

By Preacher: MANGI MASTA, nakushukuru sana kwa ripoti hii. Imezababisha changamoto kutoka kwa wana jf. Walau umedhubutu japo umekutana na majembe yenye makali ya kiwembe. Pole sana. Mwisho~salamu zangu za pongezi ziwafikie wanakamati wote wa CUF walioenda ikulu na MAONI NA MAPENDEKEZO YAO kuhusu ktb mpy. Lakini nawasihi waache pilgarism (kukopi mambo kutoka kwa watu wengine bila ridhaa ya wenyewe). Wawe wabunifu waache kuiiga siasa za CDM, wanajiaibisha sana. Otherwise big up MANGI MASTA!!!
 
By Preacher: MANGI MASTA, nakushukuru sana kwa ripoti hii. Imezababisha changamoto kutoka kwa wana jf. Walau umedhubutu japo umekutana na majembe yenye makali ya kiwembe. Pole sana. Mwisho~salamu zangu za pongezi ziwafikie wanakamati wote wa CUF walioenda ikulu na MAONI NA MAPENDEKEZO YAO kuhusu ktb mpy. Lakini nawasihi waache pilgarism (kukopi mambo kutoka kwa watu wengine bila ridhaa ya wenyewe). Wawe wabunifu waache kuiiga siasa za CDM, wanajiaibisha sana. Otherwise big up MANGI MASTA!!!

Mbona chadema wameiiga kutoka kwa CUF kususa vikao vyao bunge (except cuf waliacha posho chadema hapo walishindwa)..

Kuiga mambo mazuri siyo mbaya..
 
Wamalize kwanza mgogoro wao kwenye chama ndio walete upupu kama huu.
 
Wamalize kwanza mgogoro wao kwenye chama ndio walete upupu kama huu.
out of topic changia hoja...ikiishiwa kaa kimya

Mapendekezo yao yanaeleweka kuliko ya chadema maana ..sijaelewa chadema walitaka nini hasa???
 
Asanteni nimeisoma.

Kwanza ni very shallow, ni yakubembeleza na siyo hoja nzito. Wanajiamini kwa vile interest yao ni zaidi Zanzibar na siyo bara na huko wana uwezo wakupitisha hoja yao.

Kweli CUF ni CCM-B na mapenzi yao yote wameyatoa kwa sirikali.
 
Waraka wa CUF ni mzuri sana lakini nashindwa kuelewa kwa nini walipiga kura na kuupitisha muswada ambao walijua kuna mapungufu mengi sana. Ningependa sana kuona ktk mabadiliko ya katiba, mfumo wa bunge letu pia unabadikishwa ili siku za mbeleni wale wote wanaounga mkono vitu kama hivi - record zao ziwepo, ya kwamba mbunge fulani alipiga kura ya NDIO au HAPANA ktk muswada fulani..

Moja muhimu zaidi ni kwamba CUF nao wamekwenda kisiasa zaidi na inaonyesha wazi kabisa kwamba wao wanaamini baraza la mawaziri kutoka Zanzibar ambalo lina UMOJA ktk maswala makubwa hasa ya Muungano wetu kwa maslahi ya Zanzibar wakasahau kwamba Baraza la Mawaziri la Muungano halina maslahi ya Wabara isipokuwa ya Jamhuri ya Tanzania ikiwemo Zanzibar. Kisha baraza hilo la mawazi wa JMT, linajumuisha Wazanzibar pia na wana CCM, hivyo kufanya uchaguzi wa tume hii iwe na wajumbe walochaguliwa na CCM na Wazanzibar zaidi ya uwakilishi wa bara..

Swala la referendum, hii kamati ya uchaguzi -Kusema kweli mimi siafiki wananchi kupiga kura baada ya katiba kuandikwa. Watanzania tuna tabia ya Ubishi mkubwa pasipo hata maana na kama itakuwa maoni ya wananchi yachukuliwe kaada ya kuandika kwa katiba sidhani kama tutafanikisha hilo, isipokuwa maoni ya wananchi kama yapo yangechukuliwa ktk hatua ya mwanzo ya Muswada kabla haijawa sheria kwa sababu kikubwa hapa ni uchaguzi wa hizi Tume, nani mwenye mamlaka ya kuchagua hizi tume na tume hizi ziundwe vipi..na tayari tumeisha ona tofauti baina ya CCM,CUF na CDM..bado vyama vingine na pia asasi za kijamii bado hawajatoa mawazo yao.. Hapa kwa tofauti zao sijui ni mapendekezo ya chama au asasi gani watakubaliwa mwisho wa siku ktk kubadilisha sheria.

Wana JF wengi wanalichukulia hili swala mchezo na kisasa zaidi wakati wanashindwa kuona kwamba tayari vyama hivi vimeisdha o0nyesha tofauti zao na misimamo yao ktk uchaguzi wa tume na maswala mengine mengi ndani ya sheria. Tofauti hizi zitapelekea hata utata ktk maamuzi mengi na makuubwa ya mbeleni maadam tumeanza vibaya sidhani kama tutafikia makubaliano kuridhisha pande zote..Nina hakika vyama na asasi nyingine zinajipanga nazo kuwakilisha mawazo yao sasa, nani ataamua marekebisho ya sheria mwisho wa siku, ni bunge la Jamhuri ya Tanzania ambalo wajumbe wake wengi ni CCM..

Kilichobakia ndugu zangu ni rais kuchukua maamuzi magumu na pengine nachoweza kusema ni kwamba kwenda Ikulu hakusaidii kitu chochote baada ya sheria kupitishwa kwa sababu sio rais anayeweza kuibadilisha sheria. Haya mapendekezo yotye sioni umuhimu wake ikiwa sio kazi ya rais kubadilisha sheria alokwisha iwekea saini kwa hiyo tunacheza mlekule ngoma ya wasumbwa.

Wazungu wanasema, Take the bull by the horn and run with it!... Hapa ndipo tulipofikia na ningependa sana kutoa mapendekezo yangu ktk sehemu ya kwanza ya TUME.. Pendekezo langu ni kwamba lichaguliwe kwanza Bunge la Katiba ambalo kazi yake itakuwa kuungana na wajumbe wa asasi ya kijamii kwa hesabu sawa kupitisha majina ya Tume ya Katiba kama yatakavyopendekezwa na rais au marais.

Majina hayo yatasomwa bungeni na hao wawakilishi wa jamii zetu pamoja na Baraza la katiba watawaita wahusika na kuwahoji kwanza kabla majina yao hayajapitishwa.. Kisha baraza hilo litamchuagua katibu mkuu wa tume hii na kumkabidhi madaraka ya kuanza kukusanya maoni, kuandikwa kwa report na rasimu ya katiba mpya..Wakisha maliza kazi hiyo watairudisha tena ktk Bunge la Katiba ambalo linajumuisha wajumbe wale wale wa mwanzo ili kujadili mapendekezo ya katiba mpya na kisha kuandika katiba hiyo...

- Tume ya Uchaguzi, ambayo ni pendekezo ya mwisho la CUF haina sababu kuwepo. Hii tume ilittakiwa kuifanya kazi hii mwanzo kabisa kwa sababu huwezi kutafuta mawazo ya wananchi wote kutokana na katiba ilikwisha andikwa. Na hakuna nchi hata moja nijuavyo mimi wananchi wameshirikishwa kupiga kura juu ya katiba iliyokwisha andikwa maana huwezi kupitia yote na kila kipengele..

Baraza la Bunge litakapokamilisha kazi yake litaiwakilisha Bunge la Jamhuri chini ya mwenyekiti rais wa Jamhuri na rais wa Zaiznar kuitisha katiba hiyo kazi imekwisha... Makosa yameisha fanyika ktk kupitisha muswada hivyo tuendelee na mengineyo lakini kujaribu kurekebisha sheria iliyopo nadhani tunapoteza muda wetu bure kwa sababu hatuwezi kukubaliana ktk mvuto wa kisiasa wa vyama na Utaifa yaani Bara na Zanzibar...

Duh, nimeandika mengi hadi nachefua maanake..
 
@mkandara

Nafikiri maoni yao yakipelekwa bungeni tena (wakati wa marekebisho) yataboresha sheria hii..

Plus yale mapendekezo ya chadema..

wakati huo labda sisi watanzania tutapata mjadala mzuri tulioukosa baada ya chadema kuchafua hali hewa..

Mimi naona CUF wako very "Constructive" wameacha mambo ya kutaka kuvunja muungano etc..

Actually wanafanya siasa za kistaarabu sana kwa sasa..big up..
 
Bungeni walikuwa wamejisahau au walikuwa wanawaza Posho na kutaka kumridhisha mume wake CCM


CCM ina wake na nyumba ndogo nyingi..chadema ni nyumba ndogo ya ccm..tunatumia tukiwataka period..so mambo ya ndoa achana nayo zungumza hoja na idea zilizopo kwenye document..

Nikupe tu hint Mbowe tunamtumia kupitia EL, Slaa kupitia Sabodo na Zitto kupitia RA..wengine hawana bei so wote ni either wake wa ccm au nyumba ndogo wanachagua wenyewe wakae wapi?? ok..

Ongelea hiyo documents period ...siasa wewe huzijui..
 
Kwa kweli CUF hawawezi kueleweka katika hili. Kama walikaa bungeni na kuwajadili CDM halafu leo wanataka rais/serikali ipeleke marekebisho bungeni ili iweje? Hao yaliyopitishwa bungeni si waliyaunga mkono?
 
CCM ina wake na nyumba ndogo nyingi..chadema ni nyumba ndogo ya ccm..tunatumia tukiwataka period..so mambo ya ndoa achana nayo zungumza hoja na idea zilizopo kwenye document..

Nikupe tu hint Mbowe tunamtumia kupitia EL, Slaa kupitia Sabodo na Zitto kupitia RA..wengine hawana bei so wote ni either wake wa ccm au nyumba ndogo wanachagua wenyewe wakae wapi?? ok..

Ongelea hiyo documents period ...siasa wewe huzijui..

bakwata nao wamesaini haya mapendekezo yenu?
 
Chadema balaa, ilivuruga sana huu mchakato na huenda hata ccm wana marekebisho. Ngoja tusubiri zamu yao (ccm) baada ya hawa al-shabaab a.k.a masheikh ubwabwa!
 
Asanteni nimeisoma.

Kwanza ni very shallow, ni yakubembeleza na siyo hoja nzito. Wanajiamini kwa vile interest yao ni zaidi Zanzibar na siyo bara na huko wana uwezo wakupitisha hoja yao.

Kweli CUF ni CCM-B na mapenzi yao yote wameyatoa kwa sirikali.

kwa chuki ya hamad rashid na mnyaa kwa watu wa Tanzania bara usitarajie CUF walete hoja tofauti na hizi.
 
Back
Top Bottom