bakwata nao wamesaini haya mapendekezo yenu?
Maakofu (TEC) walisaini yale ya mapendekezo ya chadema?
bakwata nao wamesaini haya mapendekezo yenu?
Maakofu (TEC) walisaini yale ya mapendekezo ya chadema?
Lord resistance army bana utawajua tu...
alshabaab bana!
Chadema balaa, ilivuruga sana huu mchakato na huenda hata ccm wana marekebisho. Ngoja tusubiri zamu yao (ccm) baada ya hawa al-shabaab a.k.a masheikh ubwabwa!
ndio mkuu wangu.Kwa hiyo bakwata nao wamesaini haya mapendekezo yenu ili kulipa kisasi?
Lord Resistance army bana!
Kwa hiyo unasema maaskofu nao wamesaini mapendekezo ya chadema?
mkuu wangu Topical.Mbona katika ujumbe wenu ulioenda Ikulu wale kinamama walijifunika na kuacha macho tu kama wako Somalia? Nijibu mkuu wangu.
WANaMAPENDEKEZO GANI HAO VILAZA CCM B.
Nenda muulize askofu wako kwanini nuns (sisters) wanafunika vichwa kama vile wako somalia??
WANaMAPENDEKEZO GANI HAO VILAZA CCM B.
tehe tehe tehe.... Kwi kwi kwi... Acha hasira mkuu wangu Topical.Tulia jibu hoja.
mkuu wangu King2 hawachelewi kujilipua hao.
Terified kaa mbali nasi..ha ha ha naona umeanza kujamba kwa uwoga..lol
mkuu wangu Topical acha matusi jenga hoja.Nasikia ofisini kwenu mnapageuza mahali pa kuswalia kila Ijumaa,mnachofanya ni kumwambia Mtatiro tu atoke kwa sababu wote mliobaki mmetoka kile kisiwa cha karafuu.
Nasikia ofisini kwenu mmepageuza mahali pa kuiimbia kwaya na kufanya maombi, mnachofanya nikumwambi zitto atoke kwakuwa mliobaki mnatoka seminary.
pole we! Unaiga kila kitu utapasuka msamba.Kale gahawa na kashata sasa huku umevaa msuli.Usiku mwema yakhe.
Lord Resistance army bana!