Maoni kwa udsm

MESAYA

Member
Jan 4, 2012
55
52
Jaribu kupitia nakala hii inayoainisha baadhi ya mambo ambayo kama yatafanywa ndani ya udsm, migomo itakoma.
 

Attachments

  • MAONI YANGU JUU YA NAMNA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KINAWEZA KUONDOA AU KUPUNGUZA MIGOMO NA MA.doc
    33 KB · Views: 141
Tafakuri ni nzuri lakini c kwamba wewe ndo wa kwanza kuwashauri wataitupa tu hiyodocument.. Huwa hawafuati ushauri mzuri hawa jamaa wao hufuata ushauri mbaya wa kikwete weledi ......matatizo mengi husababishwa na utawala wenyewe kama fedha ya project za finalist hutakiwa kutolewa mwanzo wa semister lakini wamekuja kutoa siku ya mwisho ya kufunga chuo , huwa hawajifunzi kutokana na makosa
 
Hawa si huwa wanagoma ili waongezwe posho? Nadhani dawa ni kufuta posho zote .. za wabunge, wanafunzi, madaktari, nk
 
Tafakuri ni nzuri lakini c kwamba wewe ndo wa kwanza kuwashauri wataitupa tu hiyodocument.. Huwa hawafuati ushauri mzuri hawa jamaa wao hufuata ushauri mbaya wa kikwete weledi ......matatizo mengi husababishwa na utawala wenyewe kama fedha ya project za finalist hutakiwa kutolewa mwanzo wa semister lakini wamekuja kutoa siku ya mwisho ya kufunga chuo , huwa hawajifunzi kutokana na makosa

Wengine hata hizo za project tumeambiwa tuvute subira hadi 2nd semester ....
 
semester ijayo sio zamu yetu kugoma,ni zamu yao UDOM..kwahiyo hayo mapendekezo yatawafaa sana hao vijana.
 
Back
Top Bottom