Tafakuri ni nzuri lakini c kwamba wewe ndo wa kwanza kuwashauri wataitupa tu hiyodocument.. Huwa hawafuati ushauri mzuri hawa jamaa wao hufuata ushauri mbaya wa kikwete weledi ......matatizo mengi husababishwa na utawala wenyewe kama fedha ya project za finalist hutakiwa kutolewa mwanzo wa semister lakini wamekuja kutoa siku ya mwisho ya kufunga chuo , huwa hawajifunzi kutokana na makosa
Hawa si huwa wanagoma ili waongezwe posho? Nadhani dawa ni kufuta posho zote .. za wabunge, wanafunzi, madaktari, nk