Adrian2716
Member
- Oct 23, 2023
- 98
- 287
Kupitia taarifa iliyotumwa kwa barua pepe kwa shirika la habari la Reuters, Msemaji wa kampuni Puma amebainisha kuwa mikataba ya kampuni hiyo na baadhi ya mashirikisho ikiwemo Serbia na Israel, itakoma ifikapo 2024 na kwamba mikataba hiyo haitaongezwa.
.
Ikumbukwe kwa muda mrefu Puma imekuwa ikishinikizwa kusitisha ushirika wake na Shirikisho la Soka la Israel (IFA), ambapo mashinikizo hayo yameongezeka zaidi tangu kuanza kwa mashambulizi ya Israel, huko Gaza, ambayo yamedaiwa kusababisha vifo vya zaidi ya Wapalestina 18,000. #via #Aljazeera
.
Ikumbukwe kwa muda mrefu Puma imekuwa ikishinikizwa kusitisha ushirika wake na Shirikisho la Soka la Israel (IFA), ambapo mashinikizo hayo yameongezeka zaidi tangu kuanza kwa mashambulizi ya Israel, huko Gaza, ambayo yamedaiwa kusababisha vifo vya zaidi ya Wapalestina 18,000. #via #Aljazeera