Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,741
- 7,537
Ya Dunia nzima au ya Afrika?Madhabahu ya kichawi
Jr[emoji769]
Ya Dunia nzima au ya Afrika?Madhabahu ya kichawi
Jr[emoji769]
Ya Dunia nzima inaweza kuwa Gamboshi au? Na ya Ulaya je?Hapana kaka ya Afrika
Jr[emoji769]
Kwa hiyo Gamboshi ndiyo ya Dunia nzima, halafu hii ya Baharini ndiyo ya Ulaya? NIna interest sana na vitu hivi siku hizi kwa sababu mara ya kwanza ku-detect signal za mambo haya ilikuwa ni mwaka 2010. Before, nilikuwa nasikia tu na nilikuwa siamini, nilikuwa najua ni hadithi tu. Yaani Mungu alikuwa amenifunika kwa ulinzi wake wa ajabu sana halafu akaamua kunificha kabisa nisijue chochote kuhusu haya mambo. Yaani kama ingekuwa ni shule, sasa hivi ndiyo niko darasa la kwanza. Ila nakuhakikishia kuwa, kwa speed ninayoenda nayo, by 2030 nitakuwa tayari nimeshahitimu PhD. Kweli kabisa ninakuelezaBaharini kule bahari kuu na pengine ni pale kwenye pembetatu ya Bermuda
Jr[emoji769]
Kwa hiyo Gamboshi ndiyo ya Dunia nzima, halafu hii ya Baharini ndiyo ya Ulaya? NIna interest sana na vitu hivi siku hizi kwa sababu mara ya kwanza ku-detect signal za mambo haya ilikuwa ni mwaka 2010. Before, nilikuwa nasikia tu na nilikuwa siamini, nilikuwa najua ni hadithi tu. Yaani Mungu alikuwa amenifunika kwa ulinzi wake wa ajabu sana halafu akaamua kunificha kabisa nisijue chochote kuhusu haya mambo. Yaani kama ingekuwa ni shule, sasa hivi ndiyo niko darasa la kwanza. Ila nakuhakikishia kuwa, kwa speed ninayoenda nayo, by 2030 nitakuwa tayari nimeshahitimu PhD. Kweli kabisa ninakueleza
Mkuu unasema kweli au unatania?Halafu watu wanasema wazungu sio wachawi..hivi karibuni nilipata mwaliko wa ulaya kwenda kuhudhuria tamasha la wachawi.... Muda ukanitenda
Tamu,?? [emoji16]Mi nilishawahi kula nyama ya mtu Zimbabwe ila bila kujua ilikuwa ni nyama ya mbavu maeneo ya Bulawayo
Mshana Jr vipi andiko ushapeleka umefikia wapi so far? Haya maonyesho yakifanyika yatavutia sana binafsi nitahudhuria nijionee wafanyayo wataalam maana sina ninachoamini/jua kuhusu sekta hiyo.
Okay sawa mkuu.Serikali haitambui ushirikina tulikwama hatua za awali kabisa na tukaambiwa kuwa haya mambo yanapingana na imani za watu