Tupia hapa bila hofu tujiachieView attachment 1285564
Sorry picha ya picha pili nime upload kwa makosa... Haikustahili kuwa hapa
mshana jr heri ya mwaka mpya, ebwana naomba kuuliza kitu kimoja
....Ikitokea nimelala na mwanamke its means tumefanya soulties baina yetu, hivyo mimi na huyo mwanamke nafsi zetu zinaanza na kuwa very closely. sasa swali linakuja, je iwapo huyo mwanamke akaja kutembea na rafiki yangu kipenzi ama kaka wa damu, hapa soultie inakuwaje baina ya sisi watatu.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
. View attachment 1285574View attachment 1285576
Madhabahu ya kumtia mtu giza na kumtenga na wengine hawezi akafanya kitu cha shirika akafanikiwa
Mkuu unaweza kutueleza kidogo kazi ya hilo tunda kwenye mambo ya kishirikina
Hv mshana jr unaweza kumuangalia mgonjwa ukang'amua kuwa anaumwa ugonjwa wa kibaiologia au wa kulogwa?
Sent using Jamii Forums mobile app