3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 4,890
- 13,633
Wakuu habarini za wakati huu? Binafsi niko poa kabisa namshukuru Mungu
Siku ya leo nilipata tena nafasi kutembelea maonesho ya sabasaba na lengo kuu ilikuwa kwenda kununua miche ya matunda banda la maliasili na utalii.
Wakati napita nikasikia bwana mmoja akinadi kuwa anauza pikipiki kwa bei ya hasara nikavutiwa naye maana nina mpango wa kuvuta pikipiki kwa ajili ya biashara ikabidi nisogee kuona ni pikipiki aina gani kufika nikakuta ni pikipiki aina ya Honda bei zake 1.7m hii ni ya kupiga kiki na nyingine ni 2.1 m hii siyo ya kupiga kiki
Hii ikaniweka njia panda maana siku ya nyuma nilipita kwenye banda lingine linalouza pikipiki aina ya boxer bei ilikuwa 2.6 m kwa 2.7
Swali langu hizi honda ziko vizuri nichukue vipi spare zake zinapatikana pia maana nimeona bei zake ni nafuu kuliko boxer
Siku ya leo nilipata tena nafasi kutembelea maonesho ya sabasaba na lengo kuu ilikuwa kwenda kununua miche ya matunda banda la maliasili na utalii.
Wakati napita nikasikia bwana mmoja akinadi kuwa anauza pikipiki kwa bei ya hasara nikavutiwa naye maana nina mpango wa kuvuta pikipiki kwa ajili ya biashara ikabidi nisogee kuona ni pikipiki aina gani kufika nikakuta ni pikipiki aina ya Honda bei zake 1.7m hii ni ya kupiga kiki na nyingine ni 2.1 m hii siyo ya kupiga kiki
Hii ikaniweka njia panda maana siku ya nyuma nilipita kwenye banda lingine linalouza pikipiki aina ya boxer bei ilikuwa 2.6 m kwa 2.7
Swali langu hizi honda ziko vizuri nichukue vipi spare zake zinapatikana pia maana nimeona bei zake ni nafuu kuliko boxer