William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Sometimes JF bwana huwa sielewi, jamani tofauti ya Rais kwenda huko au kutokwenda inaweza kuwa ni nini hasa?
- Hii nji tumeliwa na tukaeni mkao wa kula tu, ndio kwanza Rostam amenunua haki zote za Star TV na huku Lowassa anakuja na Raido station pamoja na TV ya ABC, eti wananunua hizo media outlets za nini ni kwa sababu wamegundua kwamba watatawala siasa zetu for a very long time to come in a wake of all this kuna cha ajabu tena Tanzania?
Respect.
FMEs!
- Hii nji tumeliwa na tukaeni mkao wa kula tu, ndio kwanza Rostam amenunua haki zote za Star TV na huku Lowassa anakuja na Raido station pamoja na TV ya ABC, eti wananunua hizo media outlets za nini ni kwa sababu wamegundua kwamba watatawala siasa zetu for a very long time to come in a wake of all this kuna cha ajabu tena Tanzania?
Respect.
FMEs!