Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,435
- 166,886
Isishangae sana baadhi ya wasomi tz,wanaamii na kutenda mambo ya kishirikina.. You just keep calm atakuogopa milele,tena angekuwa bosi ingekuwa fresh sana.more marupurupu.ofisini kwetu kuna jamaa anashindwa kutembea vizuri,amelazwa hospitali anhisi tumbo lina pini,au misumarina na inatoa sauti akiruka.shit happens.
Ukienda; Bagamoyo,Handeni, na kwingineko, Nyakati kama hizi huwa kuna misururu ya ma rand cruiser ya waheshimiwa wetu, some of them are distinguished professors, wakifika huko mtu anafanya lolote ambalo mganga huyo(hata darasa la saba hakufika) anamuelekeza ili eti ashinde tena kwenye kinyang'anyiro!!!
Professor analishwa matakataka bila kuhoji hata kidogo!!! Asikuambie mtu!! People are captives
Ukienda; Bagamoyo,Handeni, na kwingineko, Nyakati kama hizi huwa kuna misururu ya ma rand cruiser ya waheshimiwa wetu, some of them are distinguished professors, wakifika huko mtu anafanya lolote ambalo mganga huyo(hata darasa la saba hakufika) anamuelekeza ili eti ashinde tena kwenye kinyang'anyiro!!!
Professor analishwa matakataka bila kuhoji hata kidogo!!! Asikuambie mtu!! People are captives
umewaona??
Thanx Preta for an intelligent note!!! Haha haaa!!. It should hav been Landcruiser!!.hi itakuwa ni brand mpya eeh!!...
Uzee huu unatusumbua!!hi itakuwa ni brand mpya eeh!!...
Msishangae.
Nakumbuka miaka ya 80, nikiwa field wizara fulani, kuna katibu wa wizara alikuwa anakuja na kuku mweupe kila siku ofisini, akisema kuwa huyo kuku ni mzimu wa babu yake na unamlinda.
Ofisini mwake alikuwa akiwasha ubani 24 hrs, ukiingia huwezi kukaa zaidi ya dakika 5. Mlangoni alibandika karatasi fulani lina maneno ya kiarabu yenye rangi nyekundu.
Mkuu hapo kwenye red nimecheka kumbe ukitaka watu wasijae ofisini kwako choma ubani tu!