tausi900
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 208
- 156
Tulia mpini waja... uingieYaani wanashinwa tu kutangaza siku ya kumuabudu huyu mfu, aliyekufa kibudu.
Kama Mungu alimkataa sisi wanadamu hata tumtukuze vipi haitasaidia
Tulia mpini waja... uingieYaani wanashinwa tu kutangaza siku ya kumuabudu huyu mfu, aliyekufa kibudu.
Kama Mungu alimkataa sisi wanadamu hata tumtukuze vipi haitasaidia
Usijumuishe watu wengine. Humpendi, jinyonge tu.Kwani ni lazima kiwe na jina la tusiompenda?
Ili iweje!?
Una uwezo wa kununua tanzanite kwanza?Kuanzia leo nasusia madini ya Tanzanite.
Nyie mko wachache mnoooooooo tunaompenda JPM ni wengi kuliko.Kwani ni lazima kiwe na jina la tusiompenda?
Ili iweje!?
Hama Nchi au jinyonge Mkabila mkubwa weweKwani ni lazima kiwe na jina la tusiompenda?
Ili iweje!?
Shauri yako.Kuanzia leo nasusia madini ya Tanzanite.
Serikali hii inazidi kutia nuksi kwenye miradi kwa kuendelea kumtumia mwendazake kama darajaLeo waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa anazindua kituo cha Tanzanite Mirerani mkoa wa Manyara, kuwa nami...
=======
Waziri Mkuu: Nimekuja na salam zenu kutoka kwa mheshimiwa Rais, mama Samia Suluhu anawasalimia sana wana Mererani, pia makamu wa Rais. Viongozi wetu wanawatakia mafanikio makubwa kwenye kazi zenu, wale ambao mnafanya kazi za madini mpate mafanikio makubwa, mnaofanya kazi za kilimo, mlime mpate mafanikio makubwa. Mheshimiwa Rais ameniambia niwaambia nitakuja kuwatembelea.
Ndugu wanamirerani, ziara hii pamoja na kuja kuzindua, leo nimepata fursa ya kupita pembeni mwa mgodi wetu mkubwa, nilikuwa sijawahi kupita kuona hali hiyo.
Kwa kweli Kazi kubwa serikali imefanya, kujenga ukuta eneo hili lote na miundombinu yote tunayoiona hapa sio jambo la mzaha na wala msilione kama ni jambo tu la kawaida, limetibitishwa na idadi ya watu niliowakuta hapa, hapa panashika uhai wa watu.. Maisha ya watu yako hapa.
Lazima serikali tuweke utaratibu mzuri tuendelee kuona malengo yenu yanafikiwa. Ujenzi wa ukuta huu ni nia njema ya kuwafikisha huko mnakotarajia.
Tanzanite hii ndio inatusaidia kupata fedha za maeneo mengine.
Naunga mkono hojaHakuna majina ya wenyeji?
Yule mzee aliyegundua aina ya hayo madini angepewa hilo jina.
Hata MATONYA ingekuwa good
Jinyionge mkuuKwani ni lazima kiwe na jina la tusiompenda?
Ili iweje!?
Duu, nina mashaka na maisha yako, ukisikia pahala pengine pameandikwa jina la huyu mwamba nahisi utajinyonga!😛Hakuna majina ya wenyeji?
Yule mzee aliyegundua aina ya hayo madini angepewa hilo jina.
Hata MATONYA ingekuwa good
Madini ya Tanzanite yakihusishwa na hilo jina bei yake inaweza kuporomoka duniani !!!Kuanzia leo nasusia madini ya Tanzanite.
Acha dhihaka kiongozi, kama umpendi wewe sio wote walikuwa wanamchukia kuna mabaya alifanya lakini kuna mazuri mengi sana aliyotufanyia ata wewe huna ukamilifu.Sawa kabisa ni wakati sasa mbuga ya Burigi nayo ipewe jina la magufuli kama itapendeza na shule zote ziitwe magufuli
Wengine ni akina nani? Hapendwi chato wala kizimu. Ni motoni tu.Huu ni ubinafsi, kwa vile humpendi unadhani wengine hawampendi?
Wengine ni akina nani? Hapendwi chato wala kizimu. Ni motoni tu.Msiompenda? Wewe na nani? Jina magufuli linaheshimika duniani kote wapuuzi wachache ndo wasiojua umuhumu wa jpm.