Manyara: Waziri mkuu Azindua kituo cha Tanzanite Magufuli. Astaajabishwa na Kazi kubwa iliyofanyika Ukuta wa Mirerani

Kwani mtu akifa MUNGU kamkataa ama?
Kifo kina namna 3.
1. Mungu amekupenda anakuita akakupe raha mbinguni.
2.Kifo kama ukomo wa maisha ya mwanadamu.
3. Kifo kama adhabu na laana.
Hii namba 3 Magufuli ndipo alipo, dalili zote za kifo cha Magufuli kuwa ni kuchokwa na Mungu zilionyesha.
 
Ni Tanzanite Magufuli wasiopenda wajikusanye kwa pamoja wanywe sumu ya panya jina litadilishwa tu.
 
Kifo kina namna 3.
1. Mungu amekupenda anakuita akakupe raha mbinguni.
2.Kifo kama ukomo wa maisha ya mwanadamu.
3. Kifo kama adhabu na laana.
Hii namba 3 Magufuli ndipo alipo, dalili zote za kifo cha Magufuli kuwa ni kuchokwa na Mungu zilionyesha.
Dalili kama zipi? Ebu ziweke hapa..yaan kisa ww umefukuzwaa kazi kwa kuwa na cheti feki ndo utuletee chau chau hapaaa
 
Huyu binadamu "JOHN POMBE MAGUFULI" alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kufikiria tofouti na mtangulizi wake, hakika nazidi kumuombea pumziko jema huko aliko.

Aliondoka kipindi ambacho Tanzania ilikuwa ikimuhitaji mno.
 
Marehemu aliua uchumi na kujitengenezea maadui wengi.

Awamu ya 6, kujishikamanisha sana na Serikali ya awamu ya 5, ni kufanya kosa kubwa la kiufundi na kujiwekea ugumu kuyafikia malengo yake kwa haraka.

Walioondoa vitega uchumi vyao Tanzania, kama wataona mwelekeo unakaribiana sana na ule wa awamu ya 6, hawatavirudisha vitega uchumi vyao, na vipya havitakuja, wala hata hawa wawekezaji wa humu ndani hawatashawishika kujenga kwa haraka.

Mwekezaji anahitaji sana uhakika wa mazingira anayowekeza. Awamu ya 5 ilikuwa hostile kwa investors na business community. Je, awamu ya 6 inafanya nini cha pekee kuonesha ina tofauti kubwa na awamu ya 5?
Wewe juha Magufuli hakuwahi kupinga wawekezaji alikuwa hataki wawekezaji wababaishaji? ndo maana mashamba mengi wawekezaji wababaishaji yalifutwa umiliki wakati wake hata saizi mama anaendelea kufuta. Ila kwa akili yako kila mwekezaji ni wa maana.
 
Kifo kina namna 3.
1. Mungu amekupenda anakuita akakupe raha mbinguni.
2.Kifo kama ukomo wa maisha ya mwanadamu.
3. Kifo kama adhabu na laana.
Hii namba 3 Magufuli ndipo alipo, dalili zote za kifo cha Magufuli kuwa ni kuchokwa na Mungu zilionyesha.
Kwa akili yako ya kimavi sawa.
 
Magufuli ameifanyia mambo mema na makubwa sana nchi hii. Alikuwa Rais bora kabisa wa nchi yetu. Shujaa wa Afrika na kiboko cha mabeberu, Rais Magufuli, apumzike kwa amani mbinguni.
Mbinguni au motoni
 
Back
Top Bottom