Manyara: Wakili wa Serikali, Mutalemwa Kishenyi mbaroni kwa Rushwa, TAKUKURU wamshikisha za moto

TAKUKURU inamshikilia Mwendesha Mashitaka wa Mkoa wa Manyara, Wakili Msomi Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba rushwa ya Milioni 5 kutoka kqa watuhumiwa wa Makosa ya jinai.

Hao watuhumiwa wa Jinai walikutwa na Risasi 370 pamoja na sticker fake za Bilioni 6.
View attachment 1763755

View attachment 1763752

Hizi ni baadhi ya Kesi zilizokuwa zinamkabili Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo alizozisimamia kidete:

1) Kesi dhidi ya JamiiForums: Meneja wa OILCOM (T) LTD atoa ushahidi, vielelezo vyake vyapingwa... Shauri laahirishwa

2) Kesi namba 458 kutotumia kikoa cha .TZ(Jamhuri vs JamiiForums) yasikilizwa na kuahirishwa hadi Novemba 20, 2017
Reginal ndio nini bana
 
Mkurugenzi wa TAKUKURU Manyara amepotoka vibaya mno kuandika barua ya serikali akidai ina mamlaka kutoka kwenye Biblia, kitabu cha Warumi.

Serikali ya Tanzania haina dini, na haijatoa mamlaka yake kwa Mungu wa Biblia wala wa Qurani, bali kwa wananchi kupitia Katiba.

Sitaki kuona mistari ya Biblia kwenye barua za serikali, na sitaki kuona aya za Qurani kwenye maagizo ya Serikali.

Mkurugenzi wa TAKUKURU atuombe radhi Waislamu, Wakristo, na wasio na dini.
Wote ni wapumbavu mnaolalamikia na kulalamikiwa kwani mnatkuza dini za kizungu biblia ,kitabu cha warumi,n.k ni mambo ya kuridhi kwanini kusiwe na kitabu cha warusha,wakenya,wasudan,wadodoma?

Mmemezeshwa vibaya kiasi cha kujiita wa-islam/wa-kiristo,shit!!
 
TAKUKURU inamshikilia Mwendesha Mashitaka wa Mkoa wa Manyara, Wakili Msomi Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba rushwa ya Milioni 5 kutoka kqa watuhumiwa wa Makosa ya jinai.

Hao watuhumiwa wa Jinai walikutwa na Risasi 370 pamoja na sticker fake za Bilioni 6.
View attachment 1763755

View attachment 1763752

Hizi ni baadhi ya Kesi zilizokuwa zinamkabili Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo alizozisimamia kidete:

1) Kesi dhidi ya JamiiForums: Meneja wa OILCOM (T) LTD atoa ushahidi, vielelezo vyake vyapingwa... Shauri laahirishwa

2) Kesi namba 458 kutotumia kikoa cha .TZ(Jamhuri vs JamiiForums) yasikilizwa na kuahirishwa hadi Novemba 20, 2017
Duh kazi iendelee....au huyu Naye ameonewa?
 
Mara ngapi Takukuru wamebambikia watu kesi?. Mfano mzuri ni Mzee JR, yuko mahabusu ya Segerea, huu ni mwaka wa 6. Jee unaweza kuniambia kosa lake ni nini?.
P
Kweli kabsa Kaka P, huyu mzee mwisho wa siku tutatangaziwa. " Wameamua kutoendelea na mashitaka, huwa hawajali ni mda gani wanawapotezea watu.
 
Back
Top Bottom