Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,238
Nikada mtiifu wa ccmHuyu jamaa alikua Dar baada ya kuhamishiwa Manyara naona akaona apige kabisa akiwa huko.
Nikada mtiifu wa ccmHuyu jamaa alikua Dar baada ya kuhamishiwa Manyara naona akaona apige kabisa akiwa huko.
Kuna siku nilimkuta pale MANYARA PUB anagonga k-vant na bonge la kidosho nikajua ndiyo anakaribishwa Babati.Huyu jamaa ni rafiki yake na Mnyeti balaa ndiyo matapeli wakubwa
Mungu anajua kuwachapaMalipo ni hapa hapa,na enzi za Jiwe asingeguswa huyu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Sasa zimemtokea puaniKishenyi alikuwa wakili mkuu wa serikali pale kisutu, ila jamaa anapenda sana hela
Wewe unabishana na waliomkamata?Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Ukamuonea wivu huyo kidosho.Kuna siku nilimkuta pale MANYARA PUB anagonga k-vant na bonge la kidosho nikajua ndiyo anakaribishwa Babati.
Alimfanyaje tena mkuu ebu funguka tafadhaliWe jamaa David Mataka alikuharibu kisaikojia kwakweli. Pole sana
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Reginal ndio nini banaTAKUKURU inamshikilia Mwendesha Mashitaka wa Mkoa wa Manyara, Wakili Msomi Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba rushwa ya Milioni 5 kutoka kqa watuhumiwa wa Makosa ya jinai.
Hao watuhumiwa wa Jinai walikutwa na Risasi 370 pamoja na sticker fake za Bilioni 6.
View attachment 1763755
View attachment 1763752
Hizi ni baadhi ya Kesi zilizokuwa zinamkabili Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo alizozisimamia kidete:
1) Kesi dhidi ya JamiiForums: Meneja wa OILCOM (T) LTD atoa ushahidi, vielelezo vyake vyapingwa... Shauri laahirishwa
2) Kesi namba 458 kutotumia kikoa cha .TZ(Jamhuri vs JamiiForums) yasikilizwa na kuahirishwa hadi Novemba 20, 2017
Kwa akili yako ya kiduwanzi unahisi alimfanyaje? Huna akili popoma mwandamizi.Alimfanyaje tena mkuu ebu funguka tafadhali
Mara ngapi Takukuru wamebambikia watu kesi?. Mfano mzuri ni Mzee JR, yuko mahabusu ya Segerea, huu ni mwaka wa 6. Jee unaweza kuniambia kosa lake ni nini?.Wewe unabishana na waliomkamata?
Huyu pascally siyo yule tuliye mjua wakati wa JkMmmhhh P, katalia nafsi yako, watu hubadilika!
Akili zako ni kiduchu kuliko za mbuKwa akili yako ya kiduwanzi unahisi alimfanyaje? Huna akili popoma mwandamizi.
Pascally ndugu yangu huoni kama haya maneno yako ungeyasema kipindi mzee huyo JR anakamatwa hadi anapelekwa huko rupango yangekuwa na sauti?Mara ngapi Takukuru wamebambikia watu kesi?. Mfano mzuri ni Mzee JR, yuko mahabusu ya Segerea, huu ni mwaka wa 6. Jee unaweza kuniambia kosa lake ni nini?.
P
Takukuru jina jipya hili wa wapi hao?Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Hiyo miaka 6 nyuma hapo unazungumzia utawala wa mwendazakeMara ngapi Takukuru wamebambikia watu kesi?. Mfano mzuri ni Mzee JR, yuko mahabusu ya Segerea, huu ni mwaka wa 6. Jee unaweza kuniambia kosa lake ni nini?.
P
Na akamuonyeshe mkeweFimbo kumi Na mbili wakati ywa kuingia na nyingine kumi na mbili wakati wa kutoka
Wote ni wapumbavu mnaolalamikia na kulalamikiwa kwani mnatkuza dini za kizungu biblia ,kitabu cha warumi,n.k ni mambo ya kuridhi kwanini kusiwe na kitabu cha warusha,wakenya,wasudan,wadodoma?Mkurugenzi wa TAKUKURU Manyara amepotoka vibaya mno kuandika barua ya serikali akidai ina mamlaka kutoka kwenye Biblia, kitabu cha Warumi.
Serikali ya Tanzania haina dini, na haijatoa mamlaka yake kwa Mungu wa Biblia wala wa Qurani, bali kwa wananchi kupitia Katiba.
Sitaki kuona mistari ya Biblia kwenye barua za serikali, na sitaki kuona aya za Qurani kwenye maagizo ya Serikali.
Mkurugenzi wa TAKUKURU atuombe radhi Waislamu, Wakristo, na wasio na dini.
Duh kazi iendelee....au huyu Naye ameonewa?TAKUKURU inamshikilia Mwendesha Mashitaka wa Mkoa wa Manyara, Wakili Msomi Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba rushwa ya Milioni 5 kutoka kqa watuhumiwa wa Makosa ya jinai.
Hao watuhumiwa wa Jinai walikutwa na Risasi 370 pamoja na sticker fake za Bilioni 6.
View attachment 1763755
View attachment 1763752
Hizi ni baadhi ya Kesi zilizokuwa zinamkabili Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo alizozisimamia kidete:
1) Kesi dhidi ya JamiiForums: Meneja wa OILCOM (T) LTD atoa ushahidi, vielelezo vyake vyapingwa... Shauri laahirishwa
2) Kesi namba 458 kutotumia kikoa cha .TZ(Jamhuri vs JamiiForums) yasikilizwa na kuahirishwa hadi Novemba 20, 2017
Kweli kabsa Kaka P, huyu mzee mwisho wa siku tutatangaziwa. " Wameamua kutoendelea na mashitaka, huwa hawajali ni mda gani wanawapotezea watu.Mara ngapi Takukuru wamebambikia watu kesi?. Mfano mzuri ni Mzee JR, yuko mahabusu ya Segerea, huu ni mwaka wa 6. Jee unaweza kuniambia kosa lake ni nini?.
P
You submission is awkward and unprofessional!Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P