mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,691
- 105,683
Pesa,Chapa, ankara, faranga, dolaHuyo jamaa hakuwa hivyo sijui nini kimembadilisha kama ni kweli!!?
Mbaya sana mzee ukioneshwa na kutamanishwa kubadilika ni sekunde tu
Ova
Pesa,Chapa, ankara, faranga, dolaHuyo jamaa hakuwa hivyo sijui nini kimembadilisha kama ni kweli!!?
Hakuna mwanafunzi ambaye ni financially corrupt. Lakini wakiingiaga kazini wanakuwaga hatari. Watch out boss !Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Keshakalia la motoHuyu jamaa ni rafiki yake na Mnyeti balaa ndiyo matapeli wakubwa
Kuna maneno umeyaruka hapoIkithibitika amekula rushwa aende ndani siku ya kuingia na siku ya kutoka akamuonyeshe mkewe - JK Nyerere 1995.
Mmmhhh P, katalia nafsi yako, watu hubadilika!Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
labda point alitaka tu sisi tujue kama amesoma nae.Hivi we jamaa unajielewa kweli? Yaani kabisa unasema mwanaume mwenzako hawez kula rushwa unamtetea kabisa! Are you serious dude? Smoking something perhaps as you wrote this?! Huh!
Hahahaaa ni kweli wakati naandika nikajua nimeyaweka ila Bushmamy amenisaidia ngoja niyaweke.Kuna maneno umeyaruka hapo
Kusoma nae sio sababu ya yeyekutokula rushwa au kuomba,kwani unatembea nae Kama simu ya mkononiDeclaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Malaika mkuu rudi upesi uwaokoe vijimalaika vyako vinateseka na rushwa
mama D Jane Lowassa johnthebaptist Pascal Mayalla hawaelewani tena
Hata kama kasingiziwa jamaa atasotea ndani bula dhamana.Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Nadhani ni kama vile hotuba kwa watanzania zilivyokuwa zinatokea kanisani kila jumapiliBarua za serikali sikuhizi wanaweka na mistari ya Biblia 🤔
Pamoja na kwamba mm ni mkatoliki natumia biblia, nakubaliana na wewe,amepotoka pakubwa sanaMkurugenzi wa TAKUKURU Manyara amepotoka vibaya mno kuandika barua ya serikali akidai ina mamlaka kutoka kwenye Biblia, kitabu cha Warumi.
Serikali ya Tanzania haina dini, na haijatoa mamlaka yake kwa Mungu wa Biblia wala wa Qurani, bali kwa wananchi kupitia Katiba.
Sitaki kuona mistari ya Biblia kwenye barua za serikali, na sitaki kuona aya za Qurani kwenye maagizo ya Serikali.
Mkurugenzi wa TAKUKURU atuombe radhi Waislamu, Wakristo, na wasio na dini.
Huyo huwaga ni msumbufu sana lkn alikomeshwa na LissuTAKUKURU inamshikilia Mwendesha Mashitaka wa Mkoa wa Manyara, Wakili Msomi Mtalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba rushwa ya Milioni 5 kutoka kqa watuhumiwa wa Makosa ya jinai.
Hao watuhumiwa wa Jinai walikutwa na Risasi 370 pamoja na sticker fake za Bilioni 6.
View attachment 1763755
View attachment 1763752
Hizi ni baadhi ya Kesi zilizokuwa zinamkabili Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo alizozisimamia kidete:
1) Kesi dhidi ya JamiiForums: Meneja wa OILCOM (T) LTD atoa ushahidi, vielelezo vyake vyapingwa... Shauri laahirishwa
2) Kesi namba 458 kutotumia kikoa cha .TZ(Jamhuri vs JamiiForums) yasikilizwa na kuahirishwa hadi Novemba 20, 2017
Hivi Mnyeti hajapata uteuzi ?Huyu jamaa ni rafiki yake na Mnyeti balaa ndiyo matapeli wakubwa