acha masihara mkuu inazama ka nyambizi or?Mkuu manowari kwa kawaida huwa inazama baharini
sa si ije huku syria ifanye mazoez..wenzake wanachezea kende huku bro kalala
HMS Queen Elizabeth ndiyo meli kubwa zaidi kuwahi kuundwa kwa jeshi la wanamaji la Uingereza ikiwa na uwanja wa ndege wenye ukubwa wa viwanja vitatu vya soka.
Meli hiyo ni kubwa hadi itahitaji kusubiri kushuka kwa viwango vya maji kuweza kupitia eneo la Forth bridges.
Mashua zingine zitahitaji kuisindikiza meli hiyo kutoka ilikotia nanga huko Scotland.
Hata hivyo itachukua miaka kabla ya manowari HMS Queen Elizabeth kuanza kutumiwa na kubeba ndege.
BBC SWAHILI
acha masihara mkuu inazama ka nyambiuzi or?
ww unasema nyambizMkuu manowari kwa kawaida huwa inazama baharini
ivi ndio viwanja vitatu vya mpira au macho yangu mabovu
unamix mafile mkuu nyambizi na manowari ni vitu viwili tofauti. nyambizi ndio submarine, manowari ndio hio hapo juuNyambizi na Manuwari ni kitu kimoja, SubMarine, hiyo kwenye picha sio Manuwari
Nyambizi na Manuwari ni kitu kimoja, SubMarine, hiyo kwenye picha sio Manuwari
itakua mabovu mkuuivi ndio viwanja vitatu vya mpira au macho yangu mabovu
Sasa ulitaka hata kwenye simu yako idisplay viwanja vitatu?ivi ndio viwanja vitatu vya mpira au macho yangu mabovu
ivi ndio viwanja vitatu vya mpira au macho yangu mabovu
Mkuu utarudi salama kweliMie nimeiona live ... Ngoja nimsindikize wife uwanjani, nije kukupa tips
Mkuu utarudi salama kweli
Mh!, mbona hata maumbo tofauti..Nyambizi na Manuwari ni kitu kimoja, SubMarine, hiyo kwenye picha sio Manuwari
Nankumene wewe!..sa si ije huku syria ifanye mazoez..wenzake wanachezea kende huku bro kalala
Akikujibu unitag mkuuivi ndio viwanja vitatu vya mpira au macho yangu mabovu