Manowari mpya ya Uingereza kuanza kufanyiwa majaribio leo

ze kokuyo

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
7,142
9,114
d55124b9a7f5588f64ddaed8524d9136.jpg


HMS Queen Elizabeth ndiyo meli kubwa zaidi kuwahi kuundwa kwa jeshi la wanamaji la Uingereza ikiwa na uwanja wa ndege wenye ukubwa wa viwanja vitatu vya soka.

Meli hiyo ni kubwa hadi itahitaji kusubiri kushuka kwa viwango vya maji kuweza kupitia eneo la Forth bridges.

Mashua zingine zitahitaji kuisindikiza meli hiyo kutoka ilikotia nanga huko Scotland.

Hata hivyo itachukua miaka kabla ya manowari HMS Queen Elizabeth kuanza kutumiwa na kubeba ndege.

BBC SWAHILI
 
d55124b9a7f5588f64ddaed8524d9136.jpg


HMS Queen Elizabeth ndiyo meli kubwa zaidi kuwahi kuundwa kwa jeshi la wanamaji la Uingereza ikiwa na uwanja wa ndege wenye ukubwa wa viwanja vitatu vya soka.

Meli hiyo ni kubwa hadi itahitaji kusubiri kushuka kwa viwango vya maji kuweza kupitia eneo la Forth bridges.

Mashua zingine zitahitaji kuisindikiza meli hiyo kutoka ilikotia nanga huko Scotland.

Hata hivyo itachukua miaka kabla ya manowari HMS Queen Elizabeth kuanza kutumiwa na kubeba ndege.

BBC SWAHILI
sa si ije huku syria ifanye mazoez..wenzake wanachezea kende huku bro kalala
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom