usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,892
- 13,855
Sasa ulitaka hata kwenye simu yako idisplay viwanja vitatu?
Jf n ya kuondoa stress aisee!!
Sasa ulitaka hata kwenye simu yako idisplay viwanja vitatu?
Sasa ulitaka hata kwenye simu yako idisplay viwanja vitatu?
Ni lazima nirudi salama mkuu, maana nampeleka kwenye viwanja vya watoto wenzake akacheze huko.. maana hawa watu ni watoto kabisa
mwanamke kwa mme si ni mtoto jamani ...... ni lazima umlee kama mtoto, ukijaribu ku mtreat kama mtu mzima oh! Utajutraaa
..got me twisted!
Smart of you!
Mtoto si unajua tabia za mtoto eeh!
That why tunaambiwa tusipo kua mmoja ya mfano ya watoto ( mtoto ) mdogo, ufalme wa Mungu utausikia kwenye bomba tu !
Hahah!, sawa bwana, umeshinda case..lol
Karibu sana.... na umepotea aisee ...
Amelishwa maneno atakuambia apo wame I zoom macho ya watu wengi hayana gauge ya kupima picha!!ivi ndio viwanja vitatu vya mpira au macho yangu mabovu
Kweli mkuu Nyambizi ina umbo kama mojaMh!, mbona hata maumbo tofauti..
HahahaNi lazima nirudi salama mkuu, maana nampeleka kwenye viwanja vya watoto wenzake akacheze huko.. maana hawa watu ni watoto kabisa
Mie huyu wangu ni mtoto kabisa mkuu, hata tofauti na watoto wadogo, hata kuwasha moto hua anaogopaaa, ila huku viwanjani kakutana na watu wazima na watoto wakubwa, kabaki ana shangaaa, mwisho wa siku kagoma anataka kurudi home, na mie sina tabu nime mrudisha tu... Nipo salamaa mkuuHahaha
Watoto wakubwa hao mkuu au ni watu wazima wadogo.
Na nyambizi?Mkuu manowari kwa kawaida huwa inazama baharini