Manji sema usiposema...

Kabaki na mzigo wote huo kwa nini?
Alitaka atengeneze mazingira ya kupata tenda tena? Uhujumu huo
 
Inawezekana kukawa na ukweli uliojificha lakin wakuufubua ukwel uo niyeye mwenyewe basi aweke wazii
 
Vyote
 

Oh shauri yake.

Acha anyee debe.

Muhuri wa jeshi yeye wa kazi gani?
 
Kuna Nyeti. Kutoka Nyetini zinanyetisha, kama kawaida unajua tena huyu mhindi nyodo zake na dharau, maneno yake na jeuri (Rejea kejeli kwa Mr Bonite) mangi boss aliejiolea miss wa Zamani na mrembo alieimbiwa sana na MB Mbwa.

Maneno hayohayo yaliwaimtoka enzi kaka mkuu akiwa kiranja wa kawaida. Katika harakati mhindi yakamtoka "Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa" kha! Ilimuuma sana kiranja, ikakaa moyoni.

Mungu si Athumani wala Abdala kiranja kapandishwa Cheo kawa mmiliki wa mbwa bana. Asikumbuke matusi?

Leo
ndio unajutaaaa, maana Mwenye mbwa nanyetishwa kajiapiza sigisigi mpaka donge liwe nyakanyaka. Tumuombee
MAISHA NI KUSAMEANA.

MUNGU IBARIKI TANGA-NYIKA
 
Mimi nikienda kwenye mtupa nikikuta nguo yoyote inafanana na ya jeshi huwa naikimbia.. sasa kuna mijitu mingine haijawahi hata kucheza mgambo,,, mingine misanii unakuta inabeba halafu inajiita kamanda.... sasa huyu aliyevunja rekodi kwa kukutwa na sare zote hizo za jeshi... ana lengo gani na usalama wa nchi yetu.....???
 
Hata mukamia alishawahisema haya yanayohusu mbwa basi naye akamatwe akanyee debe.

Masikini Babu Seya2!!
 
Kama muhusika sio Manji, wewe tuambie ni nani?
 
Mali zimekutwa kwenye Maghala ya Quality Group, kesi kafunguliwa Yusuph ambae Officially alishatangaza kuachia Ngazi Quality Group na kubaki Mshauri tu!

Hii kesi ni Nyepesi sana Kama Mahakama zingekuwa zinaendeshwa kisheria sio Ki amri
T doesn't make sense kabisa
Manji sijui hata anahusikaje yaan dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…