Manji Mwenyekiti Mpya Yanga!

wewe unaongea nini? Hujua hata South Africa kuna kina De Clerk? Acha ubaguzi bana, mbona klabu ya simba haina simba bali watu, tena inaongozwa na al shabab na sisi hatusemi?

Just kidding guys.... don't poke onto your screens....hamjui hata utani bana?
 
mkuu hivi wewe kweli unasema kw kuwa na uhakika ama ni kwasababu ya wewe si mpenzi na wanachama wa yanga? sisi ndio wapiga kura wa Yanga na imefika mahali inabidi soka la bongo tulibadilishe, yatupasa kila mwanachama anayeona kwamba anaweza kuongoza yanga kimafanikioa basi aje agombee na akitushawishi tumpe kuura kwa ustaw wa timu yetu.

binafsi ni miongoni mwa waliokuwa wanashabikia Manji na asi kwamba alihonga ama ananijua no ni kwasababu sera zake kwamba ataifanyia nini Yanga ndiyo iliyoniconvice. na wala si kwamba hajui mchezo la hasha mara ngapai amekuwa akishauri Yanga ila tu ushauri wake unakawa unachukuliwa kama kitu cha kawaida na baadhi ya viongaozi wetu hadi kufikia hatua ya yanga kuwa timu mbovu? kama ilikuwa kila siku tunagonga kwake kuomba hela na anatupa ila akitushauri atu wanaona hela itatumika sana wanaupiga chini basi bora aende yeye ili aone hela yake anayoitoa inatumikaje. to me nilivutiwa sana na maendeleo ya Azam FC hadi kufikia kuwa timu bora kiasi hiki basi na simba na yanga zapaswa kujitahd.
Kumbe na wewe Yeboyebo??
 
Kumbe na wewe Yeboyebo??

mimi ni yanga damu since niko mdogo na ungekuwa uwanja unasema basi kiwanja cha ushirika Moshi kingesema manake ndipo nilipokatia shauri nikiwa na miaka 6. wakati huo wachaga mna timu siyo kama leo mmeishiwa hadi sisi wandengereko tuna timu.
 
mimi ni yanga damu since niko mdogo na ungekuwa uwanja unasema basi kiwanja cha ushirika Moshi kingesema manake ndipo nilipokatia shauri nikiwa na miaka 6. wakati huo wachaga mna timu siyo kama leo mmeishiwa hadi sisi wandengereko tuna timu.
Hongera sana......... Ukiona hii makitu unajisikiaje?
attachment.php
 
A Young African Football Club now being led by an Asian............Pathetic!......Now I will hate you even more

Usikurupuke.
Yanga sio football club.
Yanga ni sports club.

Mwiba wa takoni hujautoa unataka ukae chini ili uutoe wa mguuni...inahuu?

Fuata yako
 
mkuu hivi wewe kweli unasema kw kuwa na uhakika ama ni kwasababu ya wewe si mpenzi na wanachama wa yanga? sisi ndio wapiga kura wa Yanga na imefika mahali inabidi soka la bongo tulibadilishe, yatupasa kila mwanachama anayeona kwamba anaweza kuongoza yanga kimafanikioa basi aje agombee na akitushawishi tumpe kuura kwa ustaw wa timu yetu.

binafsi ni miongoni mwa waliokuwa wanashabikia Manji na asi kwamba alihonga ama ananijua no ni kwasababu sera zake kwamba ataifanyia nini Yanga ndiyo iliyoniconvice. na wala si kwamba hajui mchezo la hasha mara ngapai amekuwa akishauri Yanga ila tu ushauri wake unakawa unachukuliwa kama kitu cha kawaida na baadhi ya viongaozi wetu hadi kufikia hatua ya yanga kuwa timu mbovu? kama ilikuwa kila siku tunagonga kwake kuomba hela na anatupa ila akitushauri atu wanaona hela itatumika sana wanaupiga chini basi bora aende yeye ili aone hela yake anayoitoa inatumikaje. to me nilivutiwa sana na maendeleo ya Azam FC hadi kufikia kuwa timu bora kiasi hiki basi na simba na yanga zapaswa kujitahd.

Mkuu Azam FC na Yanga na Simba ni vitu viwili tofauti. Azam ni ya mtu na hizi Simba na Yanga ni za wanachama.
 
MANJI MWENYEKITI MPYA YANGA





HATIMAYE wanachama wa Yanga kwa moyo mmoja usiku wa kuamkia leo walimchagua mfadhili wao wa zamani, Yusuf Manji kuwa mwenyekiti wa timu hiyo, lakini majira ya saa nane usiku kabla hajatangazwa zilizuka vurugu kubwa.

Yanga jana ilifanya uchaguzi wa kujaza nafasi kadhaa ambazo ziliachwa wazi baada ya mwenyekiti wa zamani wa timu hiyo, Llyod Nchunga, makamu mwenyekiti, Davies Mosha na wajumbe kadhaa kujiuzulu kutokana na mwenendo mbaya wa timu hiyo.

Katika uchaguzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar, zaidi ya wanachama 2,000 walipiga kura, huku amani ikitawala kuanzia hatua za awali, lakini hali mbaya ilizuka usiku majira ya saa nane baada ya walinzi kujisahau na kufungua geti wakifikiri kuwa kura zimemalizika kuhesabiwa, ndipo mamia ya wanachama waliokuwa nje ya ukumbi huo kuingia ndani kwa kasi.

Hata hivyo, wasimamizi waliwataka wanachama hao kutoka nje kwanza kwani kura za mwenyenyekiti zilikuwa bado hazijahesabiwa, hali iliyozua zogo na kejeli za hapa na pale.

Chanzo: Vijimambo Blog
 
Wanachama wa yangu mmeangalia pesa ushauri inatakiwa muimalishe utawala wa chini ila msitegemee kama atafanya wonders
 
Mkuu Azam FC na Yanga na Simba ni vitu viwili tofauti. Azam ni ya mtu na hizi Simba na Yanga ni za wanachama.

hiyo najua and to me nilitaka hizi timu mbili yaani Yanga na Simba ziwe ja mfumo wa kiuendeshaji kama wa timu ya mtu binafsi.yaani isiwe kama ilivyo sasa. hivi unaona hivi vilabi kila mtu anajisemea na kutenda anavyijiskia watu hawafikirii in a consructive way si kama ilivyo sasa kama msemaji tu kwenye vijiwe vya kahawa inatosha kumpa kura bila hata kuwa na developmental skills sijawah kuona. mkuu mpira unavitu vingi sana.
achilia mbali technical skills ambazo waweza kusema hizi zinahtaj competent and qualified personnel lakin hata vitu vingine kama uwezo wa tiu kutengeneza mapato yake una matter sana. si kila siku kutegemea wafadhili ama sadaka za watu. wakati wa kukusanya sadaka umepitwa na wakati unatakiwa sasa hivi timu itengeneza vyanzo vya mapato yake halali. there are a number of sport commidities which people can buy.

haya mpira sasa hivi umekuwa ni commercial product but still kwa undazi wa watu wachache bado mpira wetu mebaki kuwa kwajili ya entatainment tu. fikiria hata hawa tff wanafanya nini kwa ajili ya kucommercialize soka letu? to me ni bora hizi timu zikamilikiwa na wafanyabiashara ambao can think of how to get money out of it.

eti tuna timu kubwa kama hizi halafu hata kiwanda tu cha kutengeneza kiatu cha mchezo "njumu" hatuna??? kwa muda ambao yanga imeasisiwa ilishindwa kweli kuwa nayo? ama hata kuwa na kiwanja tu cha michezo? yaaani mkuu napata hasira sana.....................na hii makitu. na ukitaka kujua haya mavilabu ni ya kishenzi waandikie well written paper ukionyesha wafanye nini utachoka mkuu tena utatamani hata kulia manake waweza kuambulia kukaribishwa kahawa na kashata kisha paper ikatupwa kapuni chezea mzee Akilimali wewe.

Unaenda makao makuu ya klabu kama Yanga unakuta watu wanacheza bao humo ndani, unajiuliza hivi kwanin basi na hili bao liwe ni commodity ambayo klabu inauza? leo hii tz kuna washabiki wa timu zanje kama mimi ni MAN U nashoboka hata kunua jezi za manu u halfu unakuta uzi ni mkali ie mbaya lakin njoo nunua hizi za kwetu uzi siku moja unanyofoka makamba unashindwa kujua hivi ni uchizi huu ama uenda wazimu?

maendeleo yenyewe kisoka ndo mabaya zaid yaani siku zote nipatapo uchungu wa soka huwa namkumbuka sana SYLLER SAID MZIRAY R.I.P. jamani wahezaji sports biomechanics poor, perception reaction time poor endurance ndo hovyo, bado psychomotor coordination ndo lol waweza kulia. ukivijua hivi vitu angalia movement ya mchezaji kama anelka uwanjani hana sappleness yeye mwili huenda kama mshale na in fraction of a sec but wakwetu hadi tu ahamishe hatua sappless icomply na activity unakuta PRT ni zero. nisisem sana manake sichezi mimi.
 
Ngoma droo, yanga inaongozwa na mhindi wakai simba inaongozwa na msomali - una swali la nyongeza?

Umenikumbusha usemi wa "NYANI HAONI KUNDULE" . Inaonekana jamaa hawajui kwamba mwenyekiti wao ni mtanzania mwenye asili ya KISOMALI
 
Kama Kweli Manji ameukwaa uenyekiti basi tutarajie haya yafuatayo;
1. Yanga haitafungwa tena goli 5:0 wala 2:0 za kagame cup hazitajirudia
2. Marefa wakae mkao wa kuvuna mshiko kutoka yanga
3. Timu ya yanga ikienda kucheza nje ya nchi, wajiandae kuweka madawa ya kulevya kwa wingi kwenye mipira.
4. Azam fc isahau kupata nafasi mbili za juu kwenye msimamo wa ligi.
Fikra mpauko sampuli hii sizipendagi!
 
A Young African Football Club now being led by an Asian............Pathetic!......Now I will hate you even more

Kuna nyingineiko led by Somalian na ingine iko led by Arabian from Yemen na ziko na mafanikio moja iko bingwa ya Tanzania ingine shindi ya pili
 
Back
Top Bottom