Haya sasa tuone wakati wa Mani na ukilinganisha na wa Mengi nani zaidi.
Hili bado ni sakata lile la kuchapwa bao 5 mtungi, halijapatiwa ufumbuzi?
taratibu mjomba.
Haya sasa tuone wakati wa Mani na ukilinganisha na wa Mengi nani zaidi.
Hili bado ni sakata lile la kuchapwa bao 5 mtungi, halijapatiwa ufumbuzi?
A Young
African Football Club now being led by an
Asian............Pathetic!......Now I will hate you even
more
Nonsense....
ungeona zile pasi 75 za URA ungekumbuka umuhimu wa zile penart3 mlizopewa skuile, da aibu leo mmefanya
Aangalie asijekimbizwa kama MENGI alivyokimbizwa yanga!watanzania tumeshindwa kujitawala mpaka mhindi anatutawala sasa yanga
Acha majungu! Kama amechaguliwa kihalali mwacheni! Tutajua kama anafaa au hafai hapo baadae! Kwani waliopita wamefanya nini!Taarifa Kutoka Ukumbi Wa Diamond Jublee Zinaonyesha Kuwa Yusufu Manji ameshinda nafasi ya Mweyekit timu ya Yanga:
Jambo hili linaonekana kuwa litawakera Wanasiasa upande wa Mtandao wa Mh Sitta kwani inatajwa kuwa Manji , Rostam, Lowasa na Chenge wameunda mkakati wa kutumia Timu hiyo kupata nguvu ya kisiasa .Hata hivyo pamoja na Kashifa za Manji lakini Ubabe wa fedha ndio uliotumika.
Wapiga kura wanaangalia pesa na si tuhuma za Madawa ya kulevya!!!
Dalili hii ya Wapiga kura kuangalia pesa ya Rushwa ndiyo inaweza kuwaingiza akina Lowasa wenye mapesa hayo katika Madaraka!!!!!!!!!
Aangalie asijekimbizwa kama MENGI alivyokimbizwa yanga!watanzania tumeshindwa kujitawala mpaka mhindi anatutawala sasa yanga
A Young African Football Club now being led by an Asian............Pathetic!......Now I will hate you even more
Kuna timu zinaongozwa na raia wa kigeni, itakuwa raia lakini wa race nyengine?!
Mpira ni biashara, na ubaguzi kwenye biashara [kama kwenye masuala mengine] hauna nafasi.
Aangalie asijekimbizwa kama MENGI alivyokimbizwa yanga!watanzania tumeshindwa kujitawala mpaka mhindi anatutawala sasa yanga
Yes nonsense for an Asian to chair a club of Africans..........jokes aside that is
Ndomyana you are such a GREAT THINKER,tell them....zile gonga si mchezo ati
mbona nyie mnaongozwa na gaidi wa kisomali
Sasa wewe unayeijuwa soka niambie kwa nini iliitwa YOUNG AFRICANS na sio YOUNG TANZANIANS?
Aangalie asijekimbizwa kama MENGI alivyokimbizwa yanga!watanzania tumeshindwa kujitawala mpaka mhindi anatutawala sasa yanga
Ngoma droo, yanga inaongozwa na mhindi wakai simba inaongozwa na msomali - una swali la nyongeza?
Sasa wewe unayeijuwa soka niambie kwa nini iliitwa YOUNG AFRICANS na sio YOUNG TANZANIANS?