KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hakuna kinachoshindikana na manji kaja yanga kutimiza ndoto yake ya muda mrefu ya kuifanya yanga ijitegemee na sio kumtegemea yeye kwa kuwa yeye ni binadamu lolote linaweza kutokea akawa hayupo,na amekuwa akisema wazi kwamba hapendi kuiona yanga ikitoweka atakapotoweka yeye au mfadhili yeyote,anataka kusimamia mabadiliko makubwa ya katiba ya yanga ambayo aliowaamini na kuwapigia debe waingie yanga ili wasaidie kuleta mapinduzi yanga wamemuangusha hasa imani maugila wa madegaMkuu Azam FC na Yanga na Simba ni vitu viwili tofauti. Azam ni ya mtu na hizi Simba na Yanga ni za wanachama.