Manji hakufanya utapeli. Haya na matokeo ya conspiracy kati yake na baadhi ya watu PSPF kwa sababu haiwezekane makubaliano yawe loose kiasi hicho kama watu hawakuwa compromised. Hii mifuko ya Pensheni inahitaji kuangaliwa kwa macho mawili na hasa kuhusiana na procurement zao na investment options wanazozi-pursue. kwa sasa wamejikita zaidi katika real estate badala ya kupanua customer base yao, na hii yote ni kwa sababu kwenye procurement ndo kuna KITU KIDOGO. Matokeo yake returns za hizo nyumba wanazojenga au kununua ni kidogo sana. Mfano, makusanyo ya pango kwa PSPF ni shilingi bilioni moja tu kwa mwaka wakati makusanyo ya michango ya wanachama kwa sasa ni shilingi bilioni 17 kwa mwaka. Ku-recover bilioni 40 ya kununua quality plaza itachukua miaka 40 wakati ukiongeza wanachama kiasi hicho unakipata ndani ya miaka miwili. Wasiwasi wangu ni pale soko la nyumba litakaposhuka. Hela za wanachama zitarudije?