georgemwaipungu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,779
- 588
sasa kama ni mgonjwa watu wasiseme,,,eti itakuwa tunamhukumu?.....
yaani tuchague mtu baada ya wiki awe wa kukagua gwaride akiwa kalala kwenye machela?,watu waogope kusema eti unaweza ugua na ukaondoka kabla yake,itdoesnt matter,,,ukweli lazima tu usemwe,,ili kama mnachagua kitu muwe mmefanya uamuzi mkiwa well informed,,ili baadae msilete kelele tena za kulalamika
Hatumchagui mtu kwa nguvu zake bali akili na hekima zake.