Manji apewa saa 48 Kuhama Quality Plaza

hivi kumbe Quality Plaza ya PSPF? mbona waliliita Quality plaza? Jamaa akisema lake itakuwaje? Jengo la Shirika la Umma kulipa jina la kampuni ya Fisad nao ni ufisadi..menejimenti ya PSPF nayo ichunguzwe, kuna harufu ya ufisadi hapo.!
 
Kama hili litatimia basi tuendako ni kuzuri.Ila kama litaishia kwenye maneno tu nitasikitika sana...
 
FLASHBACK.... Huu ndiyo ufisadi wa Manji kwa Quality Plaza

Despite paying billions, PSPF doesn`t fully own Quality Plaza

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

THE Public Service Pensions Fund does not own the land where Quality Plaza is located despite paying a staggering 36bn/- for the property, THISDAY can now reveal.

Instead, the pensions fund was given only partial ownership of some of the sub-titles tied up to the property located along Nyerere Road in Dar es Salaam. Our investigations have revealed that the Quality Plaza building has a total of 11 certificates of title.

The titles are for separate parts of the ground floor, mezzanine, first and second floors only.

In a highly unusual move, PSPF agreed to pay through the nose for the building, only to end up with nine of the 11 sub-titles for the property ? and two of the sub-titles to the building belong to a ’’mystery’’ owner.

This means that despite paying a staggering 36bn/- for the two-storey Quality Plaza, PSPF does not own the main title. Furthermore, the pensions fund does not also own some parts of the building.

Under the share purchase agreement, PSPF agreed to partial ownership of the building although it paid a staggering amount for the property.

’’The building on Plot No. 189/2, Nyerere Road, Dar es Salaam is subdivided into 11 ’Certificates of Title(s)’ of which 2 are not owned by the vendors and which therefore are acknowledged by both -- the vendors and the purchaser -- that they do not form part of this agreement nor represented as that which is here-in referred to as the property,’’ says the share purchase agreement.

The agreement was signed on November 19, 2004, by the PSPF Director-General, Ms Hawa Mmanga, and the pensions fund legal officer, Mr Ngabo Patrick Ibrahim. The Chief Executive Officer of Quality Group Limited, Yusuf Manji, and the company’s director for corporate affairs, Rakesh Mehta, represented the sellers.

The pensions fund paid a total of 36bn/- for the purchase of 100 per cent of the shares in a company known as ’’Quality Plaza Limited’’, which owns the sub-titles to the property. Surprisingly, instead of buying just the property alone, PSPF bought an entire company, which means that it risks covering all outstanding taxation liabilities for the company.

If the Tanzania Revenue Authority (TRA) carries out a new assessment on previous tax liabilities for Quality Plaza Limited, PSPF would have to meet these costs.

The pensions fund is also liable to pay the terminal benefits of employees of the private company that it has taken over.

The deal, which has been described as ’’a disaster’’ by financial experts, implies that the PSPF has now walked into unknown liabilities. Our investigations revealed that the former owners of Quality Plaza Limited pushed up the value of their company from 30bn/- to 36bn/- just a few days before the sale was made.

Prior to the deal, shareholders of Quality Plaza Limited were listed as Quality Group Limited (95 per cent) and Mr Mehboob Manji (5 per cent).

Our investigations show that Quality Plaza Limited filed a notice of increase in the nominal capital to 36bn/- on November 10, 2004. A few days later, PSPF hurriedly bought the company for the exact 36bn/- in a cobbled up transaction.

Sources close to the deal say the pensions fund was in a hurry to conclude the deal -- it ordered valuation to be done within just one week and signed the share purchase agreement just a week after receiving the valuation report.

Source: THISDAY archives, 2006
 
Please add accrued penalties and interest charges from November 19th, 2004 to 31st January 2011.

~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~

Now Manji prays for out of court settlement

By Edwin Agola

25th December 2010

Quality Group director Yusuf Manji has asked Temeke Land tribunal in Dar es Salaam to suspend hearing of a chamber application against Image Properties that was lined up for hearing yesterday and now prefers amicable settlement out of court.

Manji's counsel, Joseph Thadayo, appearing for Quality Group, told tribunal chairman Mlyambina Kaare in the city that his client had promised to settle rent accruals totalling 5bn/- by January 31, 2011.

But advocate Benitho Mandele from Destiny Law Attorneys for Image Properties, when reached for comment, said he had written a letter seeking clarification on the mode of payment.
"I have written a letter to Yusuf Manji asking to be told how the debt would be sorted out, and if by January 8 there will be no response, we have instructed Majembe Auction Mart to execute the 48-hour notice to forcibly evict Manji from Quality Plaza premises without further notice," said Mandele.

Quality Group had filed a chamber application with the tribunal asking it to jail Image Properties managing director for contempt of court.

Image Properties, through its lawyer Mandele, filed a counter affidavit seeking legal redress because the said chamber application was marred with incurable irregularities, following which the tribunal on Monday, struck out part of the application, which was set for hearing yesterday.

On November 19, 2004 Manji sold Quality Plaza located along Nyerere road to the Public Service Pension Fund (PSPF) for 36bn/-, according to sales documents availed to The Guardian, but decided to occupy one-third of the building on the understanding that he would pay a monthly rent of 300m/-, which he has failed to honour, to date.

The property was acquired using the fund members' contributions and now the pensioners cannot be paid their dues due to this debt, according to Mandele.
On Monday PSPF slapped Manji with a 48-hour notice to vacate the Quality Plaza complex for failure to pay 3.5bn/- in unpaid rent covering the period from April 2009 to date, following which he now seeks to settle the matter out of court.

SOURCE: THE GUARDIAN
 
Jamani Tajiri Manji huyu Mwenyekiti Wa yanga huyu anaegombea udiwani huyu anaetaka umeya ili azifirisi Manispaa za Mkoa Wa Dar es salaam HIYO NDIO CCM ESCROW HAZINA YA MAFISADI
 
Mm nilijua majengo ya Quality Plaza ni mali ya Manji kumbe ilikuwa geresha!!!

Soma post ya BAK kaeleza vizuri kuwa jengo lilikuwa la Manji ila aliliuza kwa PSPF Mwaka 2004, na akawa mpangaji wao
 
Last edited by a moderator:
MODS PLS RESERVE THIS THREAD.
Leo kulikuwa na mkutano wa kampeni wa
mgombea ubunge jimbo la Mbeya mjini Shambwee
Shitambala. Mkutano huu pia ulihutubiwa na Mh.
Mwigulu Nchemba ambaye alishuka kwa chopa
kwenye saa 12 kamili na akapewa nafasi ya
kuhutubia kwa taribani robo saa hadi saa 12:17
jioni ambapo ndipo mkutano ulifungwa.
Sitagusia mkutano wenyewe ulivyokuwa ila nahitaji
kuandika kidogo tu kuhusu mambo kadha
aliyosema Mwigulu Nchemba. Kwenye hotuba yake,
muda mwingi aliutumia kutaja ugonjwa na udhaifu
wa Ugonjwa wa mgombea Urais wa UKAWA kupitia
CHADEMA Ndg. Edward Lowassa. Kauli alizotoa ni
kama:
1. Hawezi shika mike anatetemeka
2. Hana uwezo wa kuuwakilisha nchi kimataifa
kwani ugonjwa wake unamfanya ahutubie dakika
tatu tu.
3. Anatembea huku anajikojolea
4. Akisimama sana betri inakuwa low hivyo
kupoteza network.
5. Hata jina la mke wake( Mama Regina Lowassa)
huwa analisahau.
6. Tukimchagua Lowassa hatutakuwa tumeitendea
nchi yetu haki kwani tutakuwa tumemchagua
mgonjwa ambaye hawezi kufanya kazi.
Mimi siwezi kupinga kauli zako kwani uliyezisema
ni wewe mkuu. Nilitaka tu kwa faida ya wote humu
tutafakari sisi ni akina nani na nafasi yetu ni ipi
katika kuwahukumu au kuwatakia mabaya wale
tusiowapenda.
Tukumbuke kuwa sisi sote ni ndugu, kuna maisha
baada ya uchaguzi na Mungu wetu ni mmoja na
ndiye aliyetuumba na sisi sote tuko sawa mbele
zake. Mimi ni mkiristo na katika kukamilisha kile
ninzchotaka kusema nitatumia nukuu chache toka
Biblia takatifu kama ifuatavyo:
1. ZABURI 139:14 : " Nitakushukuru kwa kuwa
nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu ya kutisha,
Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua
sana".
2. MATHAYO 7:1,2 : " Msihukumu, msije
mkahukumiwa ninyi. Kwa kuwa hukumu ile
mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo
kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa".
3. 1 Wakorintho 4:5 :" Basi ninyi msihukumu neno
kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye
atayamulikisha yaliyositirika ya giza, na
kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu
atakapoipata sifa yake kwa Mungu".
4. Wagalatia 6:7,8 :" Msidanganyike, Mungu
hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu,
ndicho atakachovuna. Maana yeye apandaye kwa
mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu;
bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna
uzima wa milele".
5. Jeremiah 32:27 :" Tazama, mimi ni BWANA,
Mungu wa wote wenye mwili; Je! Kuna neno gumu
lo lote nisiloliweza?".
Baada ya nukuu hizo chache naomba kusema
kuwa nimesikitika sana kuona Mtanzania
mwenzetu na mtu ambaye amewahi kuwa kiongozi
wa ngazi ya Waziri Mkuu kutukanwa na
kudhalilishwa kwa kiwango hiki cha sasa. Jamani
ndugu zangu Watanzania, mbona tunakuwa na
uadui wa namna hii??? Hivi tunapofungua vinywa
vyetu kuwatukana ndugu zetu kwa kiwango cha
kutisha namna hii, je sisi tuna guarantee na
maisha yetu??? Je, sisi tuna mkataba na Mungu
wetu ambaye ndiye alituumba na mwenye
mamlaka ya uhai na uzima tulio nao???
Katika mojawapo maadili wanayojifunza Madaktari
ni pamoja na kutotoa siri za ugonjwa wa mgonjwa
kwa mtu yeyote isipokuwa kwa mgonjwa tu na
baada ya hapo mgonjwa mwenyewe anaweza
kumwambia atayeona inafaa. Lakini pia hata kama
Madaktari wanaona kuwa mgonjwa anaenda kufa
bila kujali nini kitafanyika, hawaruhusiwi kuacha
kumhudumia mgojnwa hadi dakika ya mwisho na
pia hawatakiwi kumdhihaki kwa namna yoyote ile
hata kama anakufa kwa ugonjwa wa kujitakia. Sasa
sisi ambao hatujawahi kumpima Lowassa ili kujua
kama kweli ni mgonjwa ni kitu gani kinamsumbua,
inakuwaje tunajitwalia mamlaka ya Uungu na
Uumbaji na kuanza kutoa hukumu kiasi hiki???
Lowassa ana miaka 62 sasa na hivyo ni mzee. Na
hivyo bila shaka tunajua kuwa mtu akishafika umri
wa uzeeni kinga ya mwili na nguvu vinapungua
hivyo kumpelekea mtu kupata matatizo mbali mbali
ya kiafya. Hakuna mtu na hata hawa
wanaomtukana Lowassa ambaye kama Mwenyezi
Mungu atamjalia Maisha marefu hatapitia umri wa
uzee na kuona tabu zake.
Jamani bila kujali itikadi zetu za kisiasa,
tusimdhihaki Mungu. Tusicheze na Mungu ambaye
ni muumbaji wetu. Sote tuliumbwa kwa kwa
namna inayo fanana hivyo tulinde sana mioyo yetu
na ndimi zetu. Mungu huyo huyo aliyetupa uzima
na afya ndiye huyo huyo aliyeruhusu Lowassa
kuumwa ugonjwa wa kupoteza nguvu, kumbu
kumbu na kujikojolea kama wanavyomtukana watu
wakiwamo Mh. Mwigulu Nchemba.
Mi leo baada ya kusikia Mh. Lowassa
akiporomoshewa matusi kana kwamba alichagua
kuwa vile, imebidi nitafakari sana upya juu ya
uhusiano wangu na Mungu wangu ambaye ndiye
kanipa uzima hadi dakika hii na wakati uo huo
karuhusu wengine walale usingizi wa mauti. Mungu
wangu ninakushukuru na nitazidi kukushukuru na
kulitukuza jina lako kwa kuniumba kwa namna
nilivyo. Amen.
Mwisho kabisa naombeni sana Watanzania
wenzangu tupendane. Siasa zisitufanye tukapoteza
utu na kujiona kuwa sisi ni bora kuliko wengine.
Uchaguzi utapita na maisha yataendelea.
AFRIKA NI MOJA, SOTE NI NDUGU.
MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
na MUNGU WABARIKI WATANZANIA.
WASALAM.
 
MODS PLS RESERVE THIS THREAD.
Leo kulikuwa na mkutano wa kampeni wa
mgombea ubunge jimbo la Mbeya mjini Shambwee
Shitambala. Mkutano huu pia ulihutubiwa na Mh.
Mwigulu Nchemba ambaye alishuka kwa chopa
kwenye saa 12 kamili na akapewa nafasi ya
kuhutubia kwa taribani robo saa hadi saa 12:17
jioni ambapo ndipo mkutano ulifungwa.
Sitagusia mkutano wenyewe ulivyokuwa ila nahitaji
kuandika kidogo tu kuhusu mambo kadha
aliyosema Mwigulu Nchemba. Kwenye hotuba yake,
muda mwingi aliutumia kutaja ugonjwa na udhaifu
wa Ugonjwa wa mgombea Urais wa UKAWA kupitia
CHADEMA Ndg. Edward Lowassa. Kauli alizotoa ni
kama:
1. Hawezi shika mike anatetemeka
2. Hana uwezo wa kuuwakilisha nchi kimataifa
kwani ugonjwa wake unamfanya ahutubie dakika
tatu tu.
3. Anatembea huku anajikojolea
4. Akisimama sana betri inakuwa low hivyo
kupoteza network.
5. Hata jina la mke wake( Mama Regina Lowassa)
huwa analisahau.
6. Tukimchagua Lowassa hatutakuwa tumeitendea
nchi yetu haki kwani tutakuwa tumemchagua
mgonjwa ambaye hawezi kufanya kazi.
Mimi siwezi kupinga kauli zako kwani uliyezisema
ni wewe mkuu. Nilitaka tu kwa faida ya wote humu
tutafakari sisi ni akina nani na nafasi yetu ni ipi
katika kuwahukumu au kuwatakia mabaya wale
tusiowapenda.
Tukumbuke kuwa sisi sote ni ndugu, kuna maisha
baada ya uchaguzi na Mungu wetu ni mmoja na
ndiye aliyetuumba na sisi sote tuko sawa mbele
zake. Mimi ni mkiristo na katika kukamilisha kile
ninzchotaka kusema nitatumia nukuu chache toka
Biblia takatifu kama ifuatavyo:
1. ZABURI 139:14 : " Nitakushukuru kwa kuwa
nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu ya kutisha,
Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua
sana".
2. MATHAYO 7:1,2 : " Msihukumu, msije
mkahukumiwa ninyi. Kwa kuwa hukumu ile
mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo
kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa".
3. 1 Wakorintho 4:5 :" Basi ninyi msihukumu neno
kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye
atayamulikisha yaliyositirika ya giza, na
kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu
atakapoipata sifa yake kwa Mungu".
4. Wagalatia 6:7,8 :" Msidanganyike, Mungu
hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu,
ndicho atakachovuna. Maana yeye apandaye kwa
mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu;
bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna
uzima wa milele".
5. Jeremiah 32:27 :" Tazama, mimi ni BWANA,
Mungu wa wote wenye mwili; Je! Kuna neno gumu
lo lote nisiloliweza?".
Baada ya nukuu hizo chache naomba kusema
kuwa nimesikitika sana kuona Mtanzania
mwenzetu na mtu ambaye amewahi kuwa kiongozi
wa ngazi ya Waziri Mkuu kutukanwa na
kudhalilishwa kwa kiwango hiki cha sasa. Jamani
ndugu zangu Watanzania, mbona tunakuwa na
uadui wa namna hii??? Hivi tunapofungua vinywa
vyetu kuwatukana ndugu zetu kwa kiwango cha
kutisha namna hii, je sisi tuna guarantee na
maisha yetu??? Je, sisi tuna mkataba na Mungu
wetu ambaye ndiye alituumba na mwenye
mamlaka ya uhai na uzima tulio nao???
Katika mojawapo maadili wanayojifunza Madaktari
ni pamoja na kutotoa siri za ugonjwa wa mgonjwa
kwa mtu yeyote isipokuwa kwa mgonjwa tu na
baada ya hapo mgonjwa mwenyewe anaweza
kumwambia atayeona inafaa. Lakini pia hata kama
Madaktari wanaona kuwa mgonjwa anaenda kufa
bila kujali nini kitafanyika, hawaruhusiwi kuacha
kumhudumia mgojnwa hadi dakika ya mwisho na
pia hawatakiwi kumdhihaki kwa namna yoyote ile
hata kama anakufa kwa ugonjwa wa kujitakia. Sasa
sisi ambao hatujawahi kumpima Lowassa ili kujua
kama kweli ni mgonjwa ni kitu gani kinamsumbua,
inakuwaje tunajitwalia mamlaka ya Uungu na
Uumbaji na kuanza kutoa hukumu kiasi hiki???
Lowassa ana miaka 62 sasa na hivyo ni mzee. Na
hivyo bila shaka tunajua kuwa mtu akishafika umri
wa uzeeni kinga ya mwili na nguvu vinapungua
hivyo kumpelekea mtu kupata matatizo mbali mbali
ya kiafya. Hakuna mtu na hata hawa
wanaomtukana Lowassa ambaye kama Mwenyezi
Mungu atamjalia Maisha marefu hatapitia umri wa
uzee na kuona tabu zake.
Jamani bila kujali itikadi zetu za kisiasa,
tusimdhihaki Mungu. Tusicheze na Mungu ambaye
ni muumbaji wetu. Sote tuliumbwa kwa kwa
namna inayo fanana hivyo tulinde sana mioyo yetu
na ndimi zetu. Mungu huyo huyo aliyetupa uzima
na afya ndiye huyo huyo aliyeruhusu Lowassa
kuumwa ugonjwa wa kupoteza nguvu, kumbu
kumbu na kujikojolea kama wanavyomtukana watu
wakiwamo Mh. Mwigulu Nchemba.
Mi leo baada ya kusikia Mh. Lowassa
akiporomoshewa matusi kana kwamba alichagua
kuwa vile, imebidi nitafakari sana upya juu ya
uhusiano wangu na Mungu wangu ambaye ndiye
kanipa uzima hadi dakika hii na wakati uo huo
karuhusu wengine walale usingizi wa mauti. Mungu
wangu ninakushukuru na nitazidi kukushukuru na
kulitukuza jina lako kwa kuniumba kwa namna
nilivyo. Amen.
Mwisho kabisa naombeni sana Watanzania
wenzangu tupendane. Siasa zisitufanye tukapoteza
utu na kujiona kuwa sisi ni bora kuliko wengine.
Uchaguzi utapita na maisha yataendelea.
AFRIKA NI MOJA, SOTE NI NDUGU.
MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
na MUNGU WABARIKI WATANZANIA.
WASALAM.

..unahangaika na Mwigulu wa kazi gani? anakurusha roho na anayoyasema? yani hujamzoea mpk leo? wacha kuumiza kichwa na watoa roho za watu, km aliweza kushirikiana na majambazi kumchinja mtu arusha, itakua hilo dogo tu la kumsema vibaya Lowassa?!
 
sasa kama ni mgonjwa watu wasiseme,,,eti itakuwa tunamhukumu?.....
yaani tuchague mtu baada ya wiki awe wa kukagua gwaride akiwa kalala kwenye machela?,watu waogope kusema eti unaweza ugua na ukaondoka kabla yake,itdoesnt matter,,,ukweli lazima tu usemwe,,ili kama mnachagua kitu muwe mmefanya uamuzi mkiwa well informed,,ili baadae msilete kelele tena za kulalamika
 
Mkuu usihangaike, watu wa CCM wapo juu sio tu kwa watanzania bali pia wapo juu hata kwa Mungu. Wanajua mambo ya leo, ya kesho na ya milele. Hakuna cha kuwatisha. Hawamuogopi mungu wala nani yake...
 
Back
Top Bottom