Manispaa ya Kinondoni yapata 'Division one' tano tu!

Manispaa ya Kinondoni yapata 'Division one' tano tu!

mdoe the thinker

Senior Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
104
Reaction score
20
Nipo kwenye mkutano wa hadhara hapa mwananyamala!makamanda wanaungurumisha wakiongozwa na mh. Jj Mnyika!diwani wa kata ya Saranga ametoa taarifa kwamba shule za manispaa ya kinondoni zipatazo kumi na saba division one ni tano tu!haya yote ni matokeo ya uozo wa mfumo m'bovu wa ccm!kaa chonjo 2015 mabadiliko lazima!
 
Hv mwaka huu A level ztajazwa na kina nan maana wakipeleka huu uozo cmiaka miwil ijayo hz zero ztahamia A level
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Waliwalazimisha walimu kurudi shuleni lakini walishindwa kuwalazimisha wafundishe! Lazima serikali iwajari walimu, hivi mna habari walimu wameyafurahia sana matokeo ya mwaka huu? Umeziona meseji wanazosambaziana? Una habari F za hesabu zipo kama laki 3 hivi? Maswali mengi majibu kiduchu
 
Ccm walijitengenezea bomu na sasa wamebonyeza button ya bomu na limeanza kucount-down muda wowote litawalipukia!
 
Hivi kwa nini inaonekana kama vile ni jambo la kuidhihaki serikali eti kwa sababu walimu wamefelisha wanafunzi kwa sababu madai yao hayakusikilizwa,hii kazi ya ualimu haina ethics?
 
Rais kaingia madarakani,ka-fight kwa sera ya udini ili aingie ikulu apige tu picha na 50-cent na west life,kwenye hotuba anakenua meno tu hana point
 
Hivi kwa nini inaonekana kama vile ni jambo la kuidhihaki serikali eti kwa sababu walimu wamefelisha wanafunzi kwa sababu madai yao hayakusikilizwa,hii kazi ya ualimu haina ethics?

Nasoma bachelor ya human resource management,nataka kukuambia nafaham kuhusu ethics na ethics it goes together with job satisfaction!walimu hawani wa Tanzania hawna job satisfaction,na pia hawasikilizwi wakiongelea matatizo yao,so lazima wakose ethics which imepelekea matokeo haya mabaya ya form four na ROOT cause ni serikali ya ccm!
 
Kinondoni kulikuwa na jumla ya watahiniwa wangapi?
 
Uongo si mzuri muda mwingine mkitoa matokeo muwe na takwimu sahihi au kama hizo shule anazoziongelea diwani zipo kwenye kata yake........
 
Hiyo ndiyo serikali ya ccm inapolipeleka Taif letu!kaa chonjo MABADILIKO yameanza!M4C at work,,,

CHADEMA wangejaribu ku-break down kwa kila jimbo ili wabunge wa CCM waone madhara ya ndiyo zao bungeni. Kawambwa bado yuko ofisini anacheka. Kama Chami, Mkulo na Omar Nundu waliondolewa kwa sababu za kiutendaji, kwa nini Kawambwa abaki wakati generation inageuzwa mbumbumbu? 94% wamefeli, bado wana matumaini na Waziri kuwa ana jipya?
 
Uongo si mzuri muda mwingine mkitoa matokeo muwe na takwimu sahihi au kama hizo shule anazoziongelea diwani zipo kwenye kata yake........
Hebu wewe tupe hizo sahihi ulizo nazo kama hizi sio sahihi....
 
Ni waziri yupi yule kilaza wa enzi ya Mkapa-Mungai Joseph nadhani, aliyefuta somo la kilimo skuli na huku akifahamu kuwa kilimo ndiyo uti wa mgongo wa taifa hili na wawekezaji wengi wanakuja kuwekeza kwenye kilimo.
Je huyu naye si anawajibika? awajibishwe hata kama yu kaburini kwa kutunyima maelfu ya Wanafunzi ajira wakati ujao? Hili nalo litakuwa fundisho kwa
maccm.
 
Tupe takwimu zilizo sahihi!
Kwani huyo mto mada katoa takwimu zipi? zaidi ya kusema tu na watu wanamsapoti.
Sasa kama unafahamu mtu akikwambia wilaya ya kinondoni bila ya kunyambulisha anachokimaanisha! na mimi nataka kumwambia kama kiwilaya shule ya Feza ipo kwenye wilaya ya kinondoni na imetoa Div I 48, lugalo ina div I 3 au ana Kinondoni anayoimaanisha?
 
Kwani huyo mto mada katoa takwimu zipi? zaidi ya kusema tu na watu wanamsapoti.
Sasa kama unafahamu mtu akikwambia wilaya ya kinondoni bila ya kunyambulisha anachokimaanisha! na mimi nataka kumwambia kama kiwilaya shule ya Feza ipo kwenye wilaya ya kinondoni na imetoa Div I 48, lugalo ina div I 3 au ana Kinondoni anayoimaanisha?

Hapa tunazungumzia shule za serikali zilizopo chini ya manispaa ya kinondoni!magamba akili fupi sana!fedha ni shule ya manispaa!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom