mdoe the thinker
Senior Member
- Dec 11, 2012
- 104
- 20
Nipo kwenye mkutano wa hadhara hapa mwananyamala!makamanda wanaungurumisha wakiongozwa na mh. Jj Mnyika!diwani wa kata ya Saranga ametoa taarifa kwamba shule za manispaa ya kinondoni zipatazo kumi na saba division one ni tano tu!haya yote ni matokeo ya uozo wa mfumo m'bovu wa ccm!kaa chonjo 2015 mabadiliko lazima!