ANKOJEI
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 996
- 742
Imagine ofisi ina watu wanne sasa watatu wanapiga tu soga na kuchati. Hawawezi hata kupanga mafaili na kutafuta document za wateja.
Mtu anakuhudumia huku anaongea na simu na unajua na kusikia anachoongea hakihusiani na kazi yake kabisa wala familia.
UZURI NIMEWAMBIA LAKINI NA WILAYA ZINGINE WAJIFUNZE KUHESHIMU WATEJA.
Na tunasema tunakwenda nchi ya viwanda. Ebu jiulize Siku nzima masaa8 ya kazi x watu watatu na kisha wiki then mwaka na labda Kwa wilaya zote Tanzania inakuwaje?
Kwanini watu hawataki kumuunga mkono Rais kwa vitendo. Ujumbe huu umfikie WAZIRI WA ARDHI.
Mtu anakuhudumia huku anaongea na simu na unajua na kusikia anachoongea hakihusiani na kazi yake kabisa wala familia.
UZURI NIMEWAMBIA LAKINI NA WILAYA ZINGINE WAJIFUNZE KUHESHIMU WATEJA.
Na tunasema tunakwenda nchi ya viwanda. Ebu jiulize Siku nzima masaa8 ya kazi x watu watatu na kisha wiki then mwaka na labda Kwa wilaya zote Tanzania inakuwaje?
Kwanini watu hawataki kumuunga mkono Rais kwa vitendo. Ujumbe huu umfikie WAZIRI WA ARDHI.