Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 61,470
- 74,187
Serikali Imeingilia MichezoIfungiwe kwanini?
Acha hofu mleteni huyo Mpanzu wenu mlisema tunamuogopa Sasa mlete tuwafunge vizuri
Serikali Imeingilia MichezoIfungiwe kwanini?
Acha hofu mleteni huyo Mpanzu wenu mlisema tunamuogopa Sasa mlete tuwafunge vizuri
Yaah kamwe ana sauti ya mamlakaYaani Mna pigwa biti na ali kamwe [emoji81]
Watafanyaje Sasa mkuukwa unyoooongeeee.
Wajitahidi tu mkuu[emoji23][emoji23]Wana hofu wapo mapangoni Bunju wanalia
Ifanyieni serikali ubaya ubwelaSerikali Imeingilia Michezo
Kinyonge sana tajiriSimba inatii mamlaka na haina figisu:
Pongezi kwa Wanamsimbazi wote:
Alivalia njuga suala hili ....Atajua mwenyewe huyo mropokaji
No pwent za mezaniMbeleko imechanika, ubingwa wa mezani umeota mbawa.
Pole sana Simba
Mbna mlifurahia kuahirishwa tar 8Mtu smart kichwani kwa sasa huwezi kuta anahangaishwa na hizi ngonjera za simba na yanga.
Mimi ni Simba ila hili la dabi limekaa kisiasa sana mpaka ile ladha yake asilia imeisha
Hamna Yanga wa hivi.Mimi ni Yanga, ila ukweli ni kuwa, soka la Bongo sasa ni upuuzi mtupu.
Dua la kuku.....makolo hamna power yeyoteTanzania Ifungiwe
Si ajabu hata bingwa ashaandaliwaMtu smart kichwani kwa sasa huwezi kuta anahangaishwa na hizi ngonjera za simba na yanga.
Mimi ni Simba ila hili la dabi limekaa kisiasa sana mpaka ile ladha yake asilia imeisha
Mbona kinyonge sana, msiogope Mbona yanga ni ile ile tu ya siku zote.
Tatizo ulitokea kwa nyuma.
Mtakula nyingiNingekuwa kiongozi simba ningepeleka under 20