Mangungu afunguka Simba watacheza jun 25

Mangungu afunguka Simba watacheza jun 25

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
23,010
Reaction score
32,902
MANGUNGU AFUNGUKA SIMBA KUCHEZA DERBY KWA MARA YA KWANZA..!!
.
.sisi viongozi hatuna lolote la kuongezea kile walichosema mamlaka. Ratiba ya kwanza walitoka wao, ya pili wao. Sisi kazi yetu ni kucheza mpira na tutacheza
.
1749926117280.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mtu smart kichwani kwa sasa huwezi kuta anahangaishwa na hizi ngonjera za simba na yanga.
Mimi ni Simba ila hili la dabi limekaa kisiasa sana mpaka ile ladha yake asilia imeisha
 
Back
Top Bottom