Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
teh teh teh you are very funny....Mi ninywe sumu sababu ya mtu wa jamii forums aliyejificha nyuma ya screen na keyboard?Basi Itakuwa ajabu la nane la dunia..You make me laugh with your conviction....Hebu rudia tenaaa...Ndoto yako ya matumaini nimeipenda...Ningekuwa nina uwezo ningekupa like hamsini ila JF like moja to kwa mtu mmoja kwa comment moja. Lakini kibaya ni kwamba wewe ni "too innocent" kuujua ukwelii..teh teh teh. Na ni vizuri kutoujua ukweli sababu unakuzuia wewe kuzurika na mambo mengii. Na kawaida ya watu innocent huwa wanadhani moja jumlisha moja jawabu lake mbili..Laiti ungejua tatu pia inaweza ikawa jawabuu ungepata stress tu bure.." Umenisomaaaa?????? OvaaaNarudia tena...tunamtaka ivo ivo na usheitwan wake.
Kama nakukera saga chupa unywe.
Watu type yangu tushachoshwa na utawala wa kifalme wa CCM.Alafu tupo wengi sana.