Manesi wa kike na ndoa zao zilivyo hatarini!

Manesi wa kike na ndoa zao zilivyo hatarini!

Wasichana wazuri hufeli form four then hukimbilia unesi

Nani kakudanganya manesI wote unao waona ni wakuunga unga.hujawahi sikia bachelor of nursing...kuchaguliwa bachelor of education unajiona super kumbe kilaza ...wakt mwenyewe una dv 3....idiot bora muende chuo...na muache dharau madogo
 
Wako huru sana kugegedwa nje na wengi wao hawajatulia kwenye ndoa zao.
 
Wagonjwa wanapaswa kupewa chochote wanachotaka ili kuzijenga afya zao kimwili na kiroho kutoka kwa manesi, hii imewafanya wasivumiliwe kwenye ndoa zao, bado daktari na nighta shiftiiiiiiiii weraaaaaaaaaa
 
Nani kakudanganya manesI wote unao waona ni wakuunga unga.hujawahi sikia bachelor of nursing...kuchaguliwa bachelor of education unajiona super kumbe kilaza ...wakt mwenyewe una dv 3....idiot bora muende chuo...na muache dharau madogo

Kwa akili yako kila anayesoma bachelor ya nursing basi sio kilaza?!

Kwa taarifa yako wengi kati ya wale wote wanaosoma bachelor ya nursing huwa wanapenda medicine ila matokeo hayakuruhusu! Nawajua, nili/ninawaona, na nina uhakika na ninalosema!
 
Bora anaejua aweke waz kwasababu mm nina mchumba n nes
uwe tayrai kulala peke yako mara nne usiku kwa wiki wakati mkeo yuko kazini.
Na omba kweli iwe ni kazini.
Ongera.
 
images
 
By tofali<br />
Nani kakudanganya manesI wote unao waona ni wakuunga unga.hujawahi sikia bachelor of nursing...kuchaguliwa bachelor of education unajiona super kumbe kilaza ...wakt mwenyewe una dv 3....idiot bora muende chuo...na muache dharau madogo
<br />
<br />
Kwa akili yako kila anayesoma bachelor ya nursing basi sio kilaza?!<br />
<br />
Kwa taarifa yako wengi kati ya wale wote wanaosoma bachelor ya nursing huwa wanapenda medicine ila matokeo hayakuruhusu! Nawajua, nili/ninawaona, na nina uhakika na ninalosema!

Usifananishe na bachelor of education ....ht siku moja
 
we umeniacha nacheka kweli hapa mpaka nimepaliwa kumbe unamezea mate tu ha ha ha
...Haha ha ha mamy mimi49 siunajua tena...! nawasifia tu bana si kwamba nawatamani...siku hizi unajua wanaajiri manesi wadogo wadogo..
 
Sitaki kupingana na hoja, ila kada ambayo inaongoza kwa hoja hii ni wanasiasa wanawake na wala si manesi, labda manesi wanaweza kuwa namba mbili,nisaidieni kunijuza waume wa hawa wa: 1.madame spika Anna Makinda,
2.Halima Mdee,
3. Viki Kamata,
4.Lucy Mayenga,
5.Shyrose Bhanji,
6.Tatu Ntimizi,
7. Maria Hewa
8.Sijapata
9. Sofia Simba,
10. Munde Tambwe,
11. n.k
 
Back
Top Bottom