Manesi wa kike na ndoa zao zilivyo hatarini!

Manesi wa kike na ndoa zao zilivyo hatarini!

Mtoa mada ulitakiwa utoe mlinganisho! yaani hawaolewi ukilinganisha na kada ipi? Mimi ningetamani sana kumuoa nesi ili niweze kuuguzwa pamoja kuchuuliwa chuuliwa! tatizo linakuja pale kwenye shifti za USIKU!!!!
 
Wengi wameolewa kwa ninaofanya nao kazi na wanaishi na familia zao.
Asante kwa kuweka ukweli unaoujua. Lakn naomba nikuulize, vp lakini, unakubaliana na mm kuwa hawaolewi na walioolewa hawadumu kwenye ndoa zao? Naomba experience yako.
 
Mi jirani yangu ni Nesi wa Bugando na ni Mama mtu mzima. Aliolewa mara ya kwanza akaachika ila kwasasa yupo na mme wake kama miaka 9 ila hawajapata Mtoto na huyu Mme wa sasa.
HIYO SIO KWELI!

Heee wewe unaongelea huyo mmoja tu jirani yako.?? Tuulize sie tunaoshinda nao kazini..kati ya 10 ni wa 4 ndo wana ndoa..wengine wote single with or without kids
 
Mi jirani yangu ni Nesi wa Bugando na ni Mama mtu mzima. Aliolewa mara ya kwanza akaachika ila kwasasa yupo na mme wake kama miaka 9 ila hawajapata Mtoto na huyu Mme wa sasa.
HIYO SIO KWELI!
sio kweli kvp wakati ushasema ALIOLEWA AKAACHIKA
 
Wanaume wengi tunawaona MANESI ni watu walio huru sana kwenye mambo ya SEX. wengi wao
wanajua sana mambo ya afya hivyo wanafanya ngono kwa kujiamini sana. Pia ratiba za usiku zinafanya wanaume tuwatilie shaka sana. Nesi hapati mimba hovyo kwavile anajua mambo ya kujikinga kwa madawa, condom hata kalenda. Hayo yote yanatufanya wanaume tuwaogope na
Ndio maana hatuwaowi kwa sana.
 
Kuna nesi mmoja nilichat naye mtandao fulani. Alionyesha kuwa na stress sana. Kwanza akifika usiku anakuta mume kalala, kwa hiyo hagegedwi. Wakati mwingine analala huko huko. Anadai akigegedwa haridhiki. Ndoa ina migogoro ajabu. Ilibaki kidogo tu anipe mzigo nikagegede
 
wengine huwachukulia wanaume zao kama wagonjwa na hiyo hupelekea kuvunjika kwa ndoa zao
 
...muuza mkaa aoane na muuza mkaa, mwalimu kwa mwalimu, m'biashara kwa m'biashara, nesi kwa afisa tabibu....etc
 
Mi jirani yangu ni Nesi wa Bugando na ni Mama mtu mzima. Aliolewa mara ya kwanza akaachika ila kwasasa yupo na mme wake kama miaka 9 ila hawajapata Mtoto na huyu Mme wa sasa.
HIYO SIO KWELI!

Si Kweli kwa huu mfano mmoja.. umesoma research wewe??
 
Mi nahisi ni hatari kubwa inayowakabiri ktk kuambukizwa magonjwa mbali2 ktk mazingra yao ya kaz eg AIDS/HIV
 
hakuna shida yoyote ni mwanamke kama wengine cha muhimu ni tabia hauoi profession.

Popompo hatuongelei profession tunatilia mkazo mazingira yanayoizunguka kazi huoni ni chanzo cha matatizo katika ndoa yako?
 
Hao manes itabid waoane na askar polis kwasababu wote n wazee wa night shift.
 
bishankara tukiangalia kada au kuchunguza kada, binafsi naona kada nyingi zina changamoto na si manesi tu. Jaribu kuangalia matrafiki, wanajeshi, askari, walimu nk nk. Ninchofikiri binafsi siyo kada inayoweza kuwachelewesha kuolewa, bali namna ambavyo wao wenyewe wanajiweka kitabia na kutunza familia zao. Ila sipingana na wazo lako kuwa huenda baadhi ya kada zinawaweka wadada kwenye hatari zaidi.
 
Back
Top Bottom