The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
kwanza kuna hili la 'mbele za mungu'
kwani ni mbele za mungu au mbele ya mungu??????
ukisema mbele za mungu ni kama unasema mbele zake mungu(his private parts)
halafu kuna hili la nabii na mtume......
mimi ninavyofahamu ni neno lenye maana moja.......
sasa sielewi hapa kwa ni ni watumiaji wana yatumia maneno yote mawili kwa pamoja??????????
kwani ni mbele za mungu au mbele ya mungu??????
ukisema mbele za mungu ni kama unasema mbele zake mungu(his private parts)
halafu kuna hili la nabii na mtume......
mimi ninavyofahamu ni neno lenye maana moja.......
sasa sielewi hapa kwa ni ni watumiaji wana yatumia maneno yote mawili kwa pamoja??????????