Kwani nyie kabla simba hajaenda ivory coast mlikuwa mnasemaje?1. Hamuwezi mechi za kimataifa
2. Medali ya kombe la looser
3. Huku ni ligi ya Mabingwa bhana
4. Sio Shirikisho huku.
NB
Nasubiri update ya misemo mipya baada ya hii
Yanga walikuwa hawajui ratiba ya Simba, hata matokeo waliyapata baada ya mechiKwani nyie kabla simba hajaenda ivory coast mlikuwa mnasemaje?
Kuna jamaa yangu wa simba amejifungia ndani baada ya magoli mawili ya mfululizo. Sijui kajinyonga maana hata simu haipokelewi🤣🤣🤣Matokeo ya jana yameleta mshtuko mkubwa sana kwa mashabiki wengi wa simba.
Hizi Risit wachukue bhana sisi hatutaki kufatiliwa na TRA kwamba hatutoi RISIT😂😂Kiongozi wa kamati ya roho mbaya wa Simba (haters wa Yanga) Scars hakuwa nyuma katika kuichambua Yanga. View attachment 2915732
Halafu hiyo namba 2, wa kombe la looser wote hawa hapa yupo nao kundi moja..!!1. Hamuwezi mechi za kimataifa
2. Medali ya kombe la looser
3. Huku ni ligi ya Mabingwa bhana
4. Sio Shirikisho huku.
NB
Nasubiri update ya misemo mipya baada ya hii
Mimi ni kolo kindakindaki daah tunateseka jamani.Matokeo ya jana yameleta mshtuko mkubwa sana kwa mashabiki wengi wa simba.
Mwambieni mudi aache ujanja ujanja kwenye usajili....atoe bilioni 20 watu wachukue vyuma ili mfikie hata 50% ya Yanga.Mimi ni kolo kindakindaki daah tunateseka jamani.
Hapa na type huku natetemeka mikono.
Daah Yanga mnapata raha sana.
Na hii imewapa hofu kubwa sana wakifikiria wana mechi na Yanga round ya pili kwenye ligi.Matokeo ya jana yameleta mshtuko mkubwa sana kwa mashabiki wengi wa simba.
Hahahaaa......et GENTAMYCINE ni kweli alichosema mdau hapo?Simba saiv wanaanza kuona kabisa zile 5 ilikua haki yao
Unastahili like kama 7000 haviKiongozi wa kamati ya roho mbaya wa Simba (haters wa Yanga) Scars hakuwa nyuma katika kuichambua Yanga. View attachment 2915732